Kipenda roho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 488
- 939
Economic Hit Man kwanza anakulegeza kwa rushwa ili uingie mkataba ambao siku unasituka , tayari umeshaingia kwenye chupa.
Pili umeshituka na unashindwa kuwaelezea wananchi kilichotokea, ndio unaona wanasheria uchwara wanapelekwa kinyemela kutetea mkataba , halafu tunapigwa.
Mtu amepewa si ajabu rushwa ya Dola $ milioni moja, Economic Hit Man akazichukua kilaini Dola $ Milioni mia mbili.
Tusipo angali kwa kweli hawa economic Hit men wataifilisisha nchi hii ! Very soon ! Kwa madeni Haya yanayo ratibiwa na Hit Men itafika mahali wadai wanashikilia sehemu ya rasilimali muhimu humu humu ndani ! TUMEUZWA !!!