Economic Hit Men wako kazini, rushwa kwa wanasiasa zinaifunganisha nchi kuibiwa pakubwa!


Tusipo angali kwa kweli hawa economic Hit men wataifilisisha nchi hii ! Very soon ! Kwa madeni Haya yanayo ratibiwa na Hit Men itafika mahali wadai wanashikilia sehemu ya rasilimali muhimu humu humu ndani ! TUMEUZWA !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…