Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwa kwelDahh hii thread ni fikirisha sana nawaza kusema the weekend ni mkali ila kila nikifikiria ile perfect, thinking out loud na break your heart za ed sheeran nakosa jibu kabisa[emoji854] nipo dilemma
The weekend labda kama umeanza kusikiliza Leo yupo kwenye PICK na 🎮 kitambo....Huyo the weekend ndo namsikia leo, wacha kufananisha ed sheeran na vitu vya ajabu
Hii Ngoma niliisikiga namkumbuka Rahma Toto la kimburu dah..!
hii kitu popote nikiisikia, naamka/nasimama kiuno na nyonga vinaanza kupishana kwa mwendo wa zig zag.....
Ardhi itatambua kuna mnyamwezi anayarudi madogoli...[emoji28][emoji28][emoji28]
Basi tuu, Raha ndani ya rohooo...[emoji7].
Kwatuuu....[emoji4].
Ongezea na za Kalubandika....😅😅😅
Huku unashushia michembe wakati unasubiri nswalu na nsansa.
Ginger boy Ed is the better musician 🤩
Ed ana classic songs zaidi ya 3,Dahh hii thread ni fikirisha sana nawaza kusema the weekend ni mkali ila kila nikifikiria ile perfect, thinking out loud na break your heart za ed sheeran nakosa jibu kabisa[emoji854] nipo dilemma
Unipitie hapa itetemia twende ng'ambo alafu mzambarauni tunapitia chemchemNipo hapa kanyeye kwa Zero nasikiliza nyimbo za Muinamila...😋
Wimbo wangu wa muda wote kutoka kwakeThe weekend
Save your tears[emoji444]
sensema sensema malunde sense sense sensemaaa mwaluuuu weeeeee mwaluuu weeee 🙂🙂🙂Nimeambiwa Sensema malunde leo wamepika makopa na matobolwa...🤣
Huko nimetoka sio kitambo, nilienda kuangalia shamba Kipalapala....😂Unipitie hapa itetemia twende ng'ambo alafu mzambarauni tunapitia chemchem
Ngoja nimpitie karunde hapo kiyungi alafu nimptishe hapo bachu .. alafu nije hapoHuko nimetoka sio kitambo, nilienda kuangalia shamba Kipalapala....😂
Ebu njoo hapa Serengeti Bar mimekaa kaunta hapa mkuu..😋
KasieOngezea na za Kalubandika....😅😅😅
Huku unashushia michembe wakati unasubiri nswalu na nsansa.
Kipala pala ni nzega kama sikosei.....Huko nimetoka sio kitambo, nilienda kuangalia shamba Kipalapala....😂
Ebu njoo hapa Serengeti Bar mimekaa kaunta hapa mkuu..😋
Big NoKipala pala ni nzega kama sikosei.....
Big No