Ed Sheeran vs The Weekend nani zaidi?

Ed Sheeran vs The Weekend nani zaidi?

The weekend anakichafua sana recently. Ed Sheeran has been there for a while now. I'll go with Sheeran.

Kuna ngoma inaitwa "heart's on fire", humo ndani kuna Ed Sheeran akiwa na mtaalam wa kuitwa Passenger mzee wa "let her go". Jamaa wanaimba bana!
 
We sikiliza beat tu peke yake bila mziki wake au sikiliza background instrumental

The weeknd is definition of an art itself

Pia jamaa nyimbo zake anaelezea struggle alizopitia kwenye mapenzi, utafutaji wa maisha, matumizi ya dawa za kulevya etc

Ogopa Sana mtu anaimba vitu halisi vilivyo mkuta na how anavyo change na maisha

The guy is phenomenal

Pia kuwalinganisha Hawa watu sio Sawa ni kama umlinaganishe darasa na mondi Kila mtu Ana genre yake anavyoimba na kila mtu ni best kwenye nafasi yake
 
The weekend nimesikiliza ngoma zake kadhaa, huyu dogo mwingine nimesikiliza ngoma yake Moja.... Ngoja nikusanye ngoma zao zote nizisikilize harafu ni mchambue mmoja baada ya mwingine
 
Huyu mtu na nusu. Kwenye Ile nyimbo ya Peru remix kaua mbaya Ile part aliyoimba yeye ndio naipenda zaidi
Haswaaaa Mlongoo huyu mzungu ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Daaah Edward Christopher sheeran[emoji119]
ukita muda sikiliza hii list utapata jibu nani ni bora

Perfect
Photograph
Thinking out loud
shape of you
small bump
drunk
the one
eyes closed
a fire love
kiss me
Tenerife sea
bibia beyeye
Supermarket flowers
Barcelona
lego house

sikiliza hizo halafu ukimaliza nitakuongezeea nyingine...the weekend ni msanii mzuri ila sio kwa kumlinganisha na ed sheeran.
 
Sio poa huo mzigo...ila mwenye nyimbo ni passenger...ed alifanywa kushirikishwa tu
 
NI UKOSEFU WA ADABU KABISA NA NI MATUSI KUMLINGANISHA Ed sheeran na The weeknd..
Ed huyu huyu ? The weekend anaimba na ni msanii hatari sana lakini Ed sheeran ni moto mwingine, Mashairi yake sio ya mchezo mchezo..
Huyu fundi wa guitar?

Perfect
Shape of you
Photography
Penguin
Visiting hours (achane utani nyie)
Shivers
Afterglow (acheni matusi tena dharua hizi)
2steps
Happier
Bad habits ( kweli nyie..?)
Castle on the hill
Thinking out loud
Collide
I will remember You
N.K N.K
acha kabisaa boat? Eyes closed?

Kama unasikiliza mziki kwa kuuelewa ED SHEERAN is incomparable..

Nevertheless!The Weeknd ana Ananyimbo kali, hits song za mda wote but HE IS NOT EVEN CLOSE! To ED TALENT WISE..
 
Daaah Edward Christopher sheeran[emoji119]
ukita muda sikiliza hii list utapata jibu nani ni bora

Perfect
Photograph
Thinking out loud
shape of you
small bump
drunk
the one
eyes closed
a fire love
kiss me
Tenerife sea
bibia beyeye
Supermarket flowers
Barcelona
lego house

sikiliza hizo halafu ukimaliza nitakuongezeea nyingine...the weekend ni msanii mzuri ila sio kwa kumlinganisha na ed sheeran.
Wanaleta dharau vijana hawa!
Yes weeknd ni fundi hits kibao na kali.. lakini huyu kijana fala fala Ed ni Maangamiziiiiii...kwanza haiwezekani!
 
NI UKOSEFU WA ADABU KABISA NA NI MATUSI KUMLINGANISHA Ed sheeran na The weeknd..
Ed huyu huyu ? The weekend anaimba na ni msanii hatari sana lakini Ed sheeran ni moto mwingine, Mashairi yake sio ya mchezo mchezo..
Huyu fundi wa guitar?

Perfect
Shape of you
Photography
Penguin
Visiting hours (achane utani nyie)
Shivers
Afterglow (acheni matusi tena dharua hizi)
2steps
Happier
Bad habits ( kweli nyie..?)
Castle on the hill
Thinking out loud
Collide
I will remember You
N.K N.K
acha kabisaa boat? Eyes closed?

Kama unasikiliza mziki kwa kuuelewa ED SHEERAN is incomparable..

Nevertheless!The Weeknd ana Ananyimbo kali, hits song za mda wote but HE IS NOT EVEN CLOSE! To ED TALENT WISE..
Humo kwenye Eye closed kafanya matusi [emoji3]
 
Back
Top Bottom