Edgar Kibwana: Mayele inabidi ajifunze sana kwa Kagere

Edgar Kibwana: Mayele inabidi ajifunze sana kwa Kagere

Hivi hawa wachambuzi wa bongo walisomea wapi huu uchambuzi

Unawezaje kumjaji mchezaji mechi mbili au tatu na ukaja na final report juu ya uchezaji wake ilihali katka ligi kuna mechi Zaid ya 28

Vituo vya redio viwatathmin wachambuzi wao

Wengne wameanza nongwa eti kocha wa Simba aondoke mtu ambaye amekuta kikosi tayar kishasajiliwa hajakaa nao kuwajua

UCHAMBUZI WA BONGO N WA MCHONGO

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mchambuzi wa kipindi cha michezo cha Clouds Fm, Edgar Kibwana akichambua mechi ya jana ya Simba dhidi ya Namungo, amesema mshambuliaji wa Yanga mkongomani Fiston Mayele ana mengi ya kujifunza kwa mshambuliaji wa Simba Meddi Kagere!

Edgar Kibwana aliendelea kufafanua zaidi, " Mayele ambaye ameanza mechi nne na kucheza dakika nyingi mpaka sasa ana magoli mawili sawa na Kagere ambaye yeye huanzia benchi na kucheza dakika chache nae ana magoli mawili"

" Mayele amezungukwa na wachezaji bora wengi lakini bado anasuasua katika ufungaji wa magoli tofauti na Kagere ambaye timu yake kwasasa haichezi vizuri" Edgar Kibwana aliongeza zaidi.

Kwahyo Edgar Kibwana akahitimisha kwa kusema, ni wakati sasa wa Fiston Mayele kujifunza zaidi kwa mkongwe Kagere kwenye ufumaniaji wa magoli ili awe bora zaidi!!

NB:
Namuunga mkono Edgar kwani Fiston anacheza soft soft sana anahitaji kupambana zaidi

Subiri nongwa kutoka utopoloni japo we mwenyewe umemnukuu edgar kibwana

Vile vitu havifundishiki ule ni uwezo binafsi na nishasema mpaka msimu unaisha hakutakuja kuwa na heading matata kama ya kagere

Mayele ni upepo tu na ndio maana hata magoli yake anashangilia saaana as if ye mwenyewe haamini (mbahatishaji)

Kinachomponza zaidi ni kulewa sifa, jamaa anavimba sana anajikuta ni mchezaji tegemezi kila time camera inammulika yeye tu. Hiyo tuliiona kwa aucho lakini taratibu tunaona uelekeo wa upepo ni tofauti, mechi ya juzi sijui hata kama bechi alikuwepo

Ndio nakubali hata mm Fiston Mayele na Yanga yake wanapenda misifa mingi wakati ligi ndo kwanza inaanza, ngoja tuone nani atakua mkali wa kufumania nyavu kati yake na MK 14

HANA UWEZO HUO KABISA MAYELE! SOON KAZI YKE INAISHA..

Yanga hawatengenezi chances nyingi za kufunga kama Simba.

Lakini pia Fiston ni mchezaji daraja la chini kuliko Kagere namfananisha na Michael Sarpong tu.
Haya mukuye tuteteme wote na sebene ya Fiston Mayeleeeeeeeeeeeee.🔥🔥
 

Attachments

  • 1648038552656.mp4
    1 MB
Vile vitu havifundishiki ule ni uwezo binafsi na nishasema mpaka msimu unaisha hakutakuja kuwa na heading matata kama ya kagere

Mayele ni upepo tu na ndio maana hata magoli yake anashangilia saaana as if ye mwenyewe haamini (mbahatishaji)

Kinachomponza zaidi ni kulewa sifa, jamaa anavimba sana anajikuta ni mchezaji tegemezi kila time camera inammulika yeye tu. Hiyo tuliiona kwa aucho lakini taratibu tunaona uelekeo wa upepo ni tofauti, mechi ya juzi sijui hata kama bechi alikuwepo
Ila wewe jamàa una taabu
 
Wanatamani kufuta uzi ila ndio haiwezekani halafu wengune wanaheshimika sana humu JF ila Fiston anawaumbua
Ufute uzi kisa nini?
Kwa sasa Mbape anaperform kuliko Ronaldo je Mbape ni Bora kuliko ronaldo?
Mbape hana vya kujifunza kwa Ronaldo?
Kagere ashafanya yote hana cha kujifunza kwa yoyote kwenye mpira huu.....
 
W
Ufute uzi kisa nini?
Kwa sasa Mbape anaperform kuliko Ronaldo je Mbape ni Bora kuliko ronaldo?
Mbape hana vya kujifunza kwa Ronaldo?
Kagere ashafanya yote hana cha kujifunza kwa yoyote kwenye mpira huu.....
wape shule bila ada
 
Tipwa tipwa tetemaaaa[emoji445][emoji445]
Ooh mama tetemaaa[emoji444]
Twende wote tetemaaaa[emoji444][emoji445][emoji91][emoji91]

Tuimbe wote wote woteee[emoji91][emoji91][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom