Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hawa wanaolalamika ni viongozi wa juu wa ccm , Siku Mzee Mangula akipata ujasiri wa kuongea nchi itatikisikaKwa hiyo ana makovi ya matundu ya mosumari?.
Ni kweli mwanamme mmoja alotunyamazisha kiasi hicho?
Mkuu Legacy ishapukutika tugange yajayoHawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?.
Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ....
Na wewe unaona kweli?
Unamsema hivi kada mwenzako? Kweli? Au nyinyi ndiyo mliokuwa mkitumika kumuwekea hiyo misumari?Kwa hiyo hana marinda baada ya kulia misumali?
[emoji38][emoji38][emoji38]..MATAGA na UvCcm wataishia kujibu matusi.
Mnamtukana CCM mwenzenu? HahahaKwa hiyo hana marinda baada ya kulia misumali?
Upuuzi mtupu, hata Mangula akiongea atakuwa anafanya siasa tu, kama vile tu pro-Chadema unavyoshupalia hizi siasa hapa za majitaka huku mtaani hakuna umeme mchana ni siku ya tano mfululizo sasa, wananchi tunawachora tu na siasa zenu ipo siku ya Gambia kuzidi Srilanka yatawafika tu.Hawa wanaolalamika ni viongozi wa juu wa ccm , Siku Mzee Mangula akipata ujasiri wa kuongea nchi itatikisika
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwi Kwi Kwiwanasiasa wote ni wachumia tumbo na akili zao wote zimeenda likizo, usichanganywe na utofauti wa rangi za bendera zao.
Kweli anatokea Lushoto namfahamu,Mndolwa anatokea Tanga
wengi mkuu wanaishi jana na kujipendekeza wanaamini wakiuzima mshumaa wa mwingine wakwao utawaka vizuri. tumetumia pesa nyingi sana kuwasomesha wajinga lakini ujinga haukuondoka!Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?.
Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ...
Braza nakufolo saa hii hapa, akili yako ni inaakili ndani yake.wengi mkuu wanaishi jana na kujipendekeza wanaamini wakiuzima mshumaa wa mwingine wakwao utawaka vizuri. tumetumia pesa nyingi sana kuwasomesha wajinga lakini ujinga haukuondoka!