Tutamuua tenaMara paa! kumbe hakufa alitaka tu kujua jinsi mnavyojadili, sijui mtaendelea au ndio 🤫🤫
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutamuua tenaMara paa! kumbe hakufa alitaka tu kujua jinsi mnavyojadili, sijui mtaendelea au ndio 🤫🤫
Ila kinyume chake kanyamaza yeye milele na kabakia chakula cha funza huko Chato, sisi bado tunadunda. Endelea kuoza MagufuliKwa hiyo ana makovi ya matundu ya mosumari?.
Ni kweli mwanamme mmoja alotunyamazisha kiasi hicho?
Ni kweli kauli hizi hUwa zinatolewa na mtu ambaye hawezi kuwa na marinda. Ukizingatia msumari ulikuwa size ya center boltAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sema umma wa nyumbani kwako ndiyo haujamsahau mungu wenu Magufuli. Usituhusishe sisi na huyo shetaniNa wewe unaona kweli?
2025 utajua hujui. Ndio maana sasa kila anae simama anajaribu kuchafua lakini Umma wa TZ haujasahau mzee.
Ikipotea wala hautasikia wa kuponda wala kusifia.
Bado iko Imara
Duh noma sana. Kilikuwa kipindi kibaya kuliko kipindi Cha ukoltutaaminine
Tutaaminije ukizingatia wewe ni mwanahabari wa bwana naniliu wa makesi Kila siku. Tupia video au audio clipAkizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
NyambafIla kinyume chake kanyamaza yeye milele na kabakia chakula cha funza huko Chato, sisi bado tunadunda. Endelea kuoza Magufuli
Huyo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ni bogus Sana pamoja na kuwa na PhD ya uchumi, Ni moja ya wasomi wa hovyo Sana kuwahi kuwa nao.Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Halafu huyo Mndolwa anaweza kuwa Baba yake mzazi. Hasira za kuambiwa ukweli ni mbaya sana.Unamsema hivi kada mwenzako? Kweli? Au nyinyi ndiyo mliokuwa mkitumika kumuwekea hiyo misumari?
Kila siku nawaambia humu ndani Kwamba hakuna mtu mwenye akili timamu aloweza Muelewa yule Mwendazake,unahitaji uwe kichaa kuelewa alichokuwa anasimamia kwenye uchumi..Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kama imekukera comment yangu nenda Chato kajichimbie kaburi jirani na DIKTETA wenuNyambaf
hakuna mtu mwenye akili timamu aloweza Muelewa yule Mwendazake.
Siyo misumari tu mbona alikuwa anapiga mpaka risasi!! Au umesahau kuwa aliwatuma WASIOJULIKANA wakiongozwa na Makonda kumshambulia Lissu.Kwahiyo jamaa alikuwa anawapiga misumari ndo maana mkasusa kumuelewa?
Kwani umelazimushwa kumtaja? Inainesha namna gani unamkumbuka. Mengine ni porojo tu.Sema umma wa nyumbani kwako ndiyo haujamsahau mungu wenu Magufuli. Usituhusishe sisi na huyo shetani
Unamiaka Mingapi?Muasisi wa kutukana wastaafu alikua Magufuli,Mara aseme wanawashwa washwa.Sasa acha legacy yake ya kutukana wastaafu iendelezwe.
Siyo misumari tu mbona alikuwa anapiga mpaka risasi!!