JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Legacy ya hivyo wakati tangu aondoke amekuacha ukifaidi maendeleo lukuki.Nenda kazikwe naye, legacy ya hovyo kabisa ndio inakuhangaisha? Jamaa ameshaoza,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Legacy ya hivyo wakati tangu aondoke amekuacha ukifaidi maendeleo lukuki.Nenda kazikwe naye, legacy ya hovyo kabisa ndio inakuhangaisha? Jamaa ameshaoza,
Atagombea kupitia alowaacha, watakao ishi njia zake.Atakuja kugombea tena?
Maendeleo yapi?Legacy ya hivyo wakati tangu aondoke amekuacha ukifaidi maendeleo lukuki.
Najua kinachomuuma ni ile kampuni yake....ila yote maisha...Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
umepata muda wa kujua vyote alivyosema,au maelezo machache yaliyowekwa humuHawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?
Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?
Walikufa!
True and fact, ninamkumbuka kwa kuidharau COVID 19 na ikampa majibu, pimbi Mkubwa yuleKwani umelazimushwa kumtaja? Inainesha namna gani unamkumbuka. Mengine ni porojo tu.
Kati ya yeye wa kupeleka moto na sisi nani yuko hai?Kwahiyo mlikuwa mnapelekewa moto?
Kwamba na hii tumetunga ?Mleta mada leta ushahidi vinginevyo huu ni uharo kama kawaida yenu watu wa karibu na makaburi ya kinondoni
Kaushahidi wakwao🤣
Wacha kutukana wafu mkuu. Una laana broKama imekukera comment yangu nenda Chato kajichimbie kaburi jirani na DIKTETA wenu
Utajua mwenyewe.Mburula wenzake ndio walimuelewa.Kwahiyo jamaa alikuwa anawapiga misumari ndo maana mkasusa kumuelewa?
🤣🤣Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Watetea legacy ni wananchi wa kawaida huko kwa Ground!! Wala haikuwa viongozi ndio watetea legacy !! Nenda kwa ground utawakuta watetea legacy wamejaa kama kawaida na huwaambii chochote kuhusu yule jamaa !!Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tatizo ni katiba ndiyo iliyompa madaraka yote kuliko watu au kitu chochote Nchini !!Ni ujinga wa watanzania karibu wote, mtu mmoja anafanya anavyotaka yaani tuna umia nchi nzima sababu ya mtu mmoja! hovyo sn
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Usipotoshe hoja, papasi wewe!!Kwa hiyo hana marinda baada ya kulia misumali?