Edmund Mndolwa: Awamu ya Tano tulilazimishwa kukalia misumari

Edmund Mndolwa: Awamu ya Tano tulilazimishwa kukalia misumari

Kwa hiyo ana makovi ya matundu ya mosumari?.
Ni kweli mwanamme mmoja alotunyamazisha kiasi hicho?
Sio yeye aliyekuwa na power hizo bali katiba mbovu. Katiba hii hata mwendawazimu akiingia pale anaweza kutenda chochote na hakuna cha kumfanya.
Anayepinga katiba mpya sasa hana akili kabisa.
 
Sio yeye aliyekuwa na power hizo bali katiba mbovu. Katiba hii hata mwendawazimu akiingia pale anaweza kutenda chochote na hakuna cha kumfanya.
Anayepinga katiba mpya sasa hana akili kabisa.
You nailed it !!
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Kwakweli tunamshukuru Mungu kutuepushe na hile dhahama ya awamu ya tano
 
Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?

Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?

Tutegemee kuona Samia akitukanwa baada ya utawala wake.

Wanasiasa wa namna ya Mndolwa hawafai hata kiti cha ujumbe wa nyumba kumi maana hawana vision ya kuangalia mbele badala yake wanafanya mambo yasiyo na tija.
Nyie mbona kutwa mnamlinganisha Samia na marehemu??
 
Ndio maana sitaki kusoma PHD,

Kwa hapa Tanzania ukiwa na PHD lazima akili zipungue.
 
Kati ya yeye wa kupeleka moto na sisi nani yuko hai?

Laana itoke wapi? Kumzomea Magufuli aliyekuwa anafurahi kuitwa mungu na akina Prof Kabudi na Kangi Lugora?
Tupia clip wakati akifurahia kuitwa mungu. Twendeni na ushahidi Ili tuoneshe kweli Sisi ni great thinkers. Vinginevyo ni ujinga kuendelea kuandika vitu visivyo na uhakika
 
Back
Top Bottom