Edmund Mndolwa: Awamu ya Tano tulilazimishwa kukalia misumari

Edmund Mndolwa: Awamu ya Tano tulilazimishwa kukalia misumari

Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Duh noma sana. Kilikuwa kipindi kibaya kuliko kipindi Cha ukoloni
1657882474949.jpg
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ni ujinga wa watanzania karibu wote, mtu mmoja anafanya anavyotaka yaani tuna umia nchi nzima sababu ya mtu mmoja! hovyo sn
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hata Hitler alikuwanao waliomuona ndiye mungu wao.
 
Na wewe unaona kweli?

2025 utajua hujui. Ndio maana sasa kila anae simama anajaribu kuchafua lakini Umma wa TZ haujasahau mzee.

Ikipotea wala hautasikia wa kuponda wala kusifia.

Bado iko Imara
Atakuja kugombea tena?
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Watetea legacy, pale chato bado Kuna nafasi, nendeni mkazikwe naye, shamba bado kubwa sana
 
Kweli anatokea Lushoto namfahamu,
Anaongea kujifurahisha, aliteuliwa na JPM huyohuyo anaemnanga,

Alipoona amekalia misumari angejiuzulu kwani ni mtu aliewkeeza sana hadi ana hotel ya kitalii Lushoto Tanga,

Au anajikosha kwa akina Makamba asisahaulike kwenye chungu cha asali?
Nenda Chato ukazikwe naye, ukitaka ubebwe kwenye kiroli Cha jeshi na bendera ya taifa, tutakufunika na kukutembeza mitaa yote kwa gharama zako
 
Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?

Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?

Tutegemee kuona Samia akitukanwa baada ya utawala wake.

Wanasiasa wa namna ya Mndolwa hawafai hata kiti cha ujumbe wa nyumba kumi maana hawana vision ya kuangalia mbele badala yake wanafanya mambo yasiyo na tija.
Nenda kazikwe naye, legacy ya hovyo kabisa ndio inakuhangaisha? Jamaa ameshaoza,
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ndugu Erythrocyte!!!

Kwa UFAHAMU wangu, Hadi sasa CHADEMA hawautambui wa uchaguzi wa 2020 uliomuweka madarakani Magu.

Pia Juzi Lissu makamu mkt ameweka msimamo wa kutopeleka wabunge Bungeni hata kama COVID watatimuliwa,

Kwa Maana nyingine Hadi sasa CDM kama chama haiutambui Uongozi wa Awamu ya 6 pia.

Swali langu kwako ni;

Wewe kama mwakilishi wa CDM jamvini umepata wapi AUTHORITY ya kuripoti na kutetea hoja za Chama Cha Mapinduzi kinyume na viongozi wako wa Juu?

Kama Kweli we Si NYUMBU nakutaka ujiuzulu haraka.
 
Hawa watu hawana kabisa hoja za maendeleo?

Kwamba kumsema alie kufa ndo kutapunguza ugumu wa maisha ya waTZ?

Tutegemee kuona Samia akitukanwa baada ya utawala wake.

Wanasiasa wa namna ya Mndolwa hawafai hata kiti cha ujumbe wa nyumba kumi maana hawana vision ya kuangalia mbele badala yake wanafanya mambo yasiyo na tija.
Muasisi wa kutukana wastaafu alikua Magufuli,Mara aseme wanawashwa washwa.Sasa acha legacy yake ya kutukana wastaafu iendelezwe.
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nina wasiwasi umesharambishwa ASALI,

Badala ya kuripoti HARAKATI za CDM Hadi sasa chama kimeongeza matawi mangapi vijijini kujenga chama,

Leo unatuletea hoja na kauli ya mwana CCM tujadili?

Shame on you.
 
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.

Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.

Chanzo: MwanaHalisi

Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mazombie ya chattle yatakuja kutetea legacy wakiongozwa na Etwege
 
Back
Top Bottom