EDO: Kama Simba walihujumiwa kwanini wamemfukuza kocha?

Hata bosi wenu alisema hivyo hivyo ila hajapata hata hilo 'kombe la 10 bora' [emoji12] [emoji12]

Bila shaka umejua sasa kati ya Mudi na huyo bosi wenu nani ni mjanja [emoji16][emoji16]
Hersi alisema target yake ni kufika group stages.....


Ila Cha ajabu akafika final

Now tuna CAF medal....na sio zile za Abiola ndondo cup [emoji23][emoji23]
 
Kelele zile za tunashinda Ila hatunafuraha ndio ilipelekea kuondoshwa kocha huyo Edo anafahamika gongowazi
 
Now tuna CAF medal....
Sikumuona rais wenu kwa jukwaa pale south jpili, au hakualikwa? Na kwa nini asiarikwe ilihali mna medal tena ya hao hao walio weka hilo jukwaa kugawa tuzo kwa ma champion wanaowatambua ?

Unachekesha sana babu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bora Rage aliwawahi mapema kwa kuwaita mbumbumbu baada ya kuona wanataka kumpanda kichwani, kama wanavyo mfanyia Mangungu.

Timu inaendeshwa kijanja janja na kihuni! Halafu lawama wanatupiwa wengine.
 
Sikumuona rais wenu kwa jukwaa pale south jpili, au hakualikwa? Na kwa nini asiarikwe ilihali mna medal tena ya hao hao walio weka hilo jukwaa kugawa tuzo kwa ma champion wanaowatambua ?

Unachekesha sana babu [emoji23][emoji23]
Sio Kila mwalikwa ....anagawa tuzo .. engineer alikuwa ziara nyingi pale .....Mr kolo
 
Kitendo cha manula kuanza kwenye mechi ile inaleta ukakasi sana mchezaji kutoka kwenye majeraha na kuanza moja kwa moja kwenye derby sidhani kama kocha wa makipa na robertinyo ndio walimchagua.
 
Kitendo cha manula kuanza kwenye mechi ile inaleta ukakasi sana mchezaji kutoka kwenye majeraha na kuanza moja kwa moja kwenye derby sidhani kama kocha wa makipa na robertinyo ndio walimchagua.
Labda walijua at save kidg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…