Edo Kumwembe/Adriano Gulliati kumhusu Mfalme wa Soka duniani

Edo Kumwembe/Adriano Gulliati kumhusu Mfalme wa Soka duniani

Kila mtu anamtaja mchezaji anaemkubali ni bora, mfano Pele,Maradona,C.Ronaldo na Messi wametajwa kuwa bora na watu tofauti tofauti kwahyo kuja na hoja eti fulani kasema wala haileti impact yoyote coz wapo wenzake waliosema tofauti na yeye labda kama mnataka dunia ipige kura

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi broh...
Tatizo binadamu ana ile hali ya kutaka kile anachokiamini kuwa ukweli kuliko wanachokiamini wengine..!
 
Makamu wa Raisi aliyewashuhudia Maradona na Pelle anakwambia MESSI ni habari nyingine wewe ambaye hata Supersport ni hadi uende kibandaumiza na jero lako unabisha hadi mishipa inakukakamaa

Kiukweli kizazi hiki tuna bahati ya kumshuhudia King Messi maana wachezaji wa sampuli yake huzaliwa kila baada ya miaka 2000

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unafahamu kama yeye kama mtaliano na mshabiki wa Ac milan ana maadui hawa wawili.

1. Timu ya Taifa Brazil ambayo ilikuwa ikizionea Timu za ulaya including Italy

2. Napoli,Timu ndogo iliokuja kuchukua ubingwa wa Italy na kuwabwaga ma giant kama Ac milan.

Pelle anatoka Brazill na Maradona ni wa Napoli,

Maelezo ya huyo mtu sidhani kama yana credibility hapa.

Ni kama umuulize Dalgish kama ronaldo ama Cantona alikuwa mchezaji mzuri.

Maradona kati ya 84 mpaka 91 alikuwa anachezea Napoli na katika prime yake miaka 4 makombe ya ligi italy 2 na nafasi ya 2 mara 2.

Timu ndogo kama Napoli kwa Effect ya mchezaji mmoja iliwachachafya sana vigogo wa Italy.

Screenshot_20190124-095609.png


Huu ni.msimamo wa ligi Nafasi ya Napoli 1983 kabla ya maradona kutua
Screenshot_20190124-095957.png


Sasa fikiria mchezaji mkubwa Duniani club kubwa zinamtaka anaondoka club kama barcelona na kwenda club inayokaribia kushuka daraja ya Napoli,then anawapa ubingwa tena mara mbili, na wakikosa ubingwa wanakuwa wa pili, hizi ndio sifa za wachezaji wazuri wa zamani.

Leo hii mtu kama Messi,ronaldo neymar etc hawaendi timu ndogo hata kwa ndumba, na siku zote watachagua wachezaji wazuri wawazunguke, siku messi akienda Argentina anakuwa wa kawaida sababu kule hawawezi kusajili. Maradona na hio hio average argentina aliipa Kombe.
 
Bado tunaendelea kusubiri goli lake la mwanzo ndani ya hatua ya mtuano ya world cup. World cup 4 lakini 0 goals kwenye hatua za mtoano.
 
Ile siku UCL Messi anatupiga Arsenal goli 4 ndio siku niliyoamua rasmi kuungana na Arsene Wenger kukubali jamaa anaujua mpira!..
 
Mabishano hayo yawe chachu kwa wachezaji wetu akina Kelvin Paul weweze kuweka historia duniani
 
Wewe huna mawazo huru hadi uishi nakuamini mawazo yamtu mwingine mwenye kichwa kama wewe.punguza kutojiamini.Kila mtu ana mtazamo wake kwajinsi anavyoona mambo.
Makamu wa Raisi aliyewashuhudia Maradona na Pelle anakwambia MESSI ni habari nyingine wewe ambaye hata Supersport ni hadi uende kibandaumiza na jero lako unabisha hadi mishipa inakukakamaa

Kiukweli kizazi hiki tuna bahati ya kumshuhudia King Messi maana wachezaji wa sampuli yake huzaliwa kila baada ya miaka 2000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom