Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Tunazungumzia BRAND sio udhaminiwa. 5imba inalipiwa mishahara na Mwamedi, mkimuudhi anapost kususa instagram, Platnumz ni brand kubwa
kwani utopolo wanalipwa mishahara na nani???mbona juzi GSM katishia kuwasusa mkaanza weweseka
 
Mwaka 1971 ikabadilisha jina lake kabisa na kuitwa, Simba Sport Club.

Huwa nikisikia Simba hata vile vipindi vya wanyama nashutuka najua Simb SC.

Wajifunze kuwa na Heshima,maana Simba SC na club pinzani Young African zimemfanya yeye afahamike na kuonwa na Diamond ambaye pia anazipa heshima kubwa.

Wapunguze homoni zao kwa kufanya mazoezi,kuna vitu vingine wanamfanya mtoto wa watu Diamond aonekane kama mpumbavu au ana dharau tokana na aina ya watu anaoajiri au kuwa nao.

Dharau na kujikweza kwa ajili ya kujenga jina la Wasafi ama kituo chochot huwa hazijawahi kudumu.

Wawe makini sana na kauli zao,Mashabiki wa Simba Sc ni wengi na ndio wasikilizaji pia.Wakiaamua kuichukulia kauli kimaumivu kuna vitu mbeleni watakuja hata kukosa misaada kwenye matatizo.

Wapunguze upumbavu kidogo,mahaba hayo wamsifie boss wao vyumbani huko walikoajiriwa na kwake.
 
Tunazungumzia BRAND sio udhaminiwa. 5imba inalipiwa mishahara na Mwamedi, mkimuudhi anapost kususa instagram, Platnumz ni brand kubwa
Kwahivyo GSM kulipa mishahara pale Utopoloni na kusajili wachezaji na kumlipa kocha kisha akasitisha halafu baadaye mkaenda kulia lia naye tusemeje?

Acha kuandika ujinga basi..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa utopolo ni wapumbavu,sisi Mo alipost instagram hakuna hata aliyemlilia au kuhangaika naye aliachwa tu,mwenyewe akaomba msamaha siyo mashabiki na club wamlambe miguu kama utopolo walivyofanya kwa gsm
Kwahivyo GSM kulipa mishahara pale Utopoloni na kusajili wachezaji na kumlipa kocha kisha akasitisha halafu baadaye mkaenda kulia lia naye tusemeje?

Acha kuandika ujinga basi..!

Sent using Jamii Forums mobile app

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Hawa utopolo ni wapumbavu,sisi Mo alipost instagram hakuna hata aliyemlilia au kuhangaika naye aliachwa tu,mwenyewe akaomba msamaha siyo mashabiki na club wamlambe miguu kama utopolo walivyofanya kwa gsm

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Utopolo ni kama wanajitekenya halafu wanajichekesha mo alipotingisha kiberiti alichuniwa akajirudi mwenyewe Ila GSM alipotingisha kiberiti tuliona uongozi wa matawi ukaitisha mkutano haraka wa kumwangukia viongozi wakafukuzwa wengine wakajiuzulu lakini hilo hawasemi wamekaa kufatilia mambo ya simba
 
Back
Top Bottom