Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Yuko kwenye mfuko wa Wasafi hawezi kuongea yakumchukiza boss wake.
Edo atakuwa anazungumzia SIMBA CEMENT
 
Mda huu wakiendelea na uchambuzi wasafi arena,Edo amesema kwamba Diamond ni brand kubwa kuliko club ya Simba kwa udhamini kutoka kwa makampuni mengi kama
1.Parimatch
2.Nice one
3.Coral color
4.Pepsi

Hivi kweli kwenye brand unaweza kufananisha club na msanii?

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧

Edo Kumwembe Sifa zimeshaanza Kumuharibu na Siku hizi amekuwa Mpashkuna fulani na ana mambo ya Kike Kike sana tu!
 
Out of topic
Ana ka ulimbukeni fulani cha kuiga iga majina ya watu (kama dangote) na hiyo simba . Angekomaa kuikuza hiyo diamond ambayo dunia nzima imeshamtambua , sasa akiamza kuiga majina ama kuwa na majina meeengi hata ID yake haitakuwa na wala haitajulikana kwa maana atawachanganya wafuasi
tapatalk_1587668459163.jpg
 
Inawezekana anamsifia mwajili wake au anawapa changamoto simba kuhusiana na mikataba midogo wanayoingia simba wakati diamond anapata mikataba mikubwa
 
Wakati Sir Alex Ferguson anamrushia kiatu David Beckham aliyekuwa kwenye ubora wake pale Manchester United na kumjeruhi jichoni katika vyumba vya kubadilishia nguo alimuambia. "Hata siku moja mchezaji hawezi kuwa mkubwa kuliko klabu."
What I mean.. Diamond kusema ni brand kubwa kuliko Simba ni kuwakosea heshima mashabiki wa Wanamsimbazi.
Diamond ni brand yenye limit na muda. Simba ni brand ya isiyokuwa na limit na muda. Means goes Generation to Generation. Period!
 
Unapozungumzia brand unazungumzia mambo mengi,mshahara tu wa Kagere au chama mtangazaji wa wasafi kufikia ni kama mara 4 au 5,halafu simba ni taasisi
Swali lisomeke hivi:
"Kati ya matasha ya Diamond Platnumz na Mechi za SSC ni upande upi una maslahi mazuri kwa mlengwa?"

Sent using Jamii Forums mobile app

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Yaani huyo kijana anayetumia jina ambalo sio lake ndio mkubwa kuliko Club bora kabisa Afrika Mashariki??
 
Dah ligi iendelee tu mana kukosa vya kusema kwenye habari mwisho wake ndio unakuwa hivi sasa kulinganisha visivyolinganishwa
 
Hivi brand ni nini? Ni dudwasha gani linaitwa BRAND?
 
Back
Top Bottom