Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Huyo anatumika kuwakatisha tamaa SimbaAkiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi
Mwambie hivi yeye sie MUNGU,Akiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi
Una umri gani?Na mpua wake mkubwa kama taa za Operation
Ww kwa chuki zako kwa Simba una umri gani?.Una umri gani?
mimi nikajua mtu mwenye bichwa kubwa kama kivuko cha feli na akili zinakua nyingi,kumbe amna bana,dah!
Mi mwananchi lakini Sina noma hiii,wamtoe mwarabu watuheshimu blacksUna umri gani?
Nyie utopolo mbona rivers aliwakanda nje ndaniTatizo hamtaki kusikia uhalisi ila mnataka mnachopenda ndo kusikia.. hakuna timu pale.. kama mmemshindwa raja huyo kulwa wake mtatoka kapa tena
Iliyowapiga utopoloUwafunge Wydad goli tatu bila? kwa timu ipi?