econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Uwafunge Wydad goli tatu bila? kwa timu ipi?
Kwa timu iliyowafunga Yanga 2 sifuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwafunge Wydad goli tatu bila? kwa timu ipi?
Kaizer chiefs si mlimfunga goli tatu? kwani goli tatu sio nyingi?Ana uhakika amekuwa Mungu. Simba ikikupiga tatu unatoka. Simba imekuwa inatolewa kwenye robo fainali kutokana na kufunga magoli machache nyumbani, kuanzia Kaizer chiefs na Orlando Pirates.
Tatizo hamtaki kusikia uhalisi ila mnataka mnachopenda ndo kusikia.. hakuna timu pale.. kama mmemshindwa raja huyo kulwa wake mtatoka kapa tena
Kichwa kikubwa bila akili ni ni mzigo kwa shingoEdo bichwa kubwa akili kisoda,yeye siku zote ni wa kuinenea simba mabaya tu.
Daaaa tusubiri povu kuuubwaaaassAkiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi
Una masihara, yaani timu ya Zimbabwe uifananishe na Wydad?Kuna mechi ya Simba Vs FCP ya Zimbabwe...
Simba ilitoa mtu 4 kwa sufuri Kwa lupaso
Chama alionyesha ufundi mule wa kufa mtu
Tunasubiria na Jmosi kwa nkapa hatoki
mtu
Ilikua ligi ya mabingwa hiyo 2020/2021
Tushamzoea zamani toka enzi zile anatumiwaga.Akiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi
Chanzo cha hiyo penati kilukuwa ni nini?Simba anaweza kumtoa wydad kama mpira ukichezwa bila mizengwe.
RIVERS UTD ILIKUWA INAMTOA WAYDAD MSIMU HUU KWENYE PLAY OFFS STAGE .
kadi nyekundu ya mizengwe waliyopewa rivers kule morchaocco ndiyo iliyombeba wydad ndipo akàanza kupata magoli maana dakika nyingi rivers alicheza akiwa pungufu.
Bila kadi nyekundu ile wydad alikuwa anaaaga mashindano. Maana mechi ya kwanza wydad alifungwa kule Nigeria
Chanzo cha hiyo penati kilukuwa ni nini?
Na huko kote walikopita mpaka wakaongoza kundi walikuwa wanabebwa?Kipa wa Rivers utd aliambiwa amempiga kipepsi mchezaji wa wydad. Ndipo akapewa red card na wydad wakapewa penalty.
Sababu kipa alipewa kadi nyekundu ikawalazimu rivers utd wafanye sub ya kumtoa mchezaji wa ndani na kumuingiza goal keeper mpya..
Baada ya kubaki pungufu uwanjani ndipo wydad akaanza kuwatawala na kuwafunga
Siyo dakika 90 mkuu ni dakika 180 Simba atakuwa ametupwa nje ya mashindano hayo ya wakubwa na kumaliza tambo zenu .Mwambie hivi yeye sie MUNGU,
Hata DAUD alimuua GOLIATH....
Hata yehu mkimbiza farasi aliambiwa na watu "WAMEONA MAJITU" yehu hakuogopa...
Hofu ni ugonjwa mbaya sanaa..
Dakika 90 Zita amua nani ana qualify....
SIMBA GUVU MOYA [emoji881][emoji881]
Kwahyo Yanga haifanani na Ihefu?? 😄 😄Una masihara, yaani timu ya Zimbabwe uifananishe na Wydad?
Si Kuna chama, Baleke, sakho?Uwafunge Wydad goli tatu bila? kwa timu ipi?
Hivi unamsikiliza kumwembe? Ni lini ulimwona kumwembe anaujua mpira kwa maana kuucheza kwa kiwango cha juu hapa Tanzania? Haujui mpira zaidi ya kuucheza mdomoni!! Wachambuzi wenye heshima na wanaoujua mpira kama kina Ally Mayai huwezi kuwasikia wakisema maneno kama hayo ya kumwembe!! Kumwembe anaongea ili kitu chochote kiende kinywani kwa kuwafurahisha watu fulani anaowajua yeye!!Akiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi