ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kisukari kina umri,? ulisomea wapi bi mkubwa,?Ww kwa chuki zako kwa Simba una umri gani?.
Usije ukawa una miaka ya kisukari ukafa bureee kwa jakamoyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisukari kina umri,? ulisomea wapi bi mkubwa,?Ww kwa chuki zako kwa Simba una umri gani?.
Usije ukawa una miaka ya kisukari ukafa bureee kwa jakamoyo
My point sio kumtoa Wydad nmeshangaa anapo kashifu maumbile ya mtu wakati yeye hawezi kuumba hata mjusiMi mwananchi lakini Sina noma hiii,wamtoe mwarabu watuheshimu blacks
Kama utopolo ni Wydad kaa hivyo hivyo
Kuna umri ni inevitable...hii ni kwa wale wenye visababishi..hasa kama hucontrol chuki na presha presha 🙁 🙁Kisukari kina umri,? ulisomea wapi bi mkubwa,?
Anaweka mazingira ya kuwafanya Simba wakishinda hapa wawe wanyonge kuwa wataenda kule kufungwa!!Cha kufurahisha ni kuwa anaamini hapa home ground mnyama atashinda
Umepotoshwa na mwalimu wakoKuna umri ni inevitable...hii ni kwa wale wenye visababishi..hasa kama hucontrol chuki na presha presha 🙁 🙁
Najua unajua...au nikujuze zaidi??Umepotoshwa na mwalimu wako
Hapana kodi ya nyumba ikiisha anapiga wapi panga ?Edo bichwa kubwa akili kisoda,yeye siku zote ni wa kuinenea simba mabaya tu.
MchaaaambuziAkiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi
Or else tuyapuuzeTunaheshimu mawazo yake
Jina lako tu linatosha.Imeloa baada ya kukandwa au------?Watu wanajipa moyo 💓 sana ili labda wasipate stroke lakini ukweli unabaki palepale kwamba japo hatujui matokeo yatakuwaje lakini Simba hawezi katu kuvuka hatua ya robo fainali, yeye safari ndio imefika mwisho. Adios.
Akipita msiseme uchawi.Watu wanajipa moyo 💓 sana ili labda wasipate stroke lakini ukweli unabaki palepale kwamba japo hatujui matokeo yatakuwaje lakini Simba hawezi katu kuvuka hatua ya robo fainali, yeye safari ndio imefika mwisho. Adios.
Akiwa katika kipindi cha sports arena kupitia wasafi fm, mchambuzi wa michezo nchini, Edward Kumwembe amesema ana uhakika hata simba akishinda 3-0 kwa Mkapa jumamosi bado atatolewa na Wydad katika mechi ya marudiano.
Una maoni gani? Comments ziwe fupifupi