ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kama Yanga ni sawa na Wydad peleka kichwa chako! ulitoka kumfunga Horoya 7 nini kilifata ulipo enda kwa Raja,? tena hakua na pressure ya matokeo tuachieni kujitumainisha uongo hapo ndio mwisho wa SimbaKwa timu iliyowafunga Yanga 2 sifuri.