Edo Kumwembe: Machozi ya Nabi katika mwisho wa kiume wa Yanga Algeria

Maelezo MEEEEEEEEENGI

LONGO LONGO TUUUUUUU
NA KUMALIZA KARATASI ZA MWANASPOTI.
 
Edo ni mzuri sana kwenye kuandika makala kuliko kuchambua radio

Na ameharibu zaidi kuwa kwenye kipindi cha Jana na Leo kila siku na maboya kama Baba levo na Oscar Oscar wanajadili ujinga badala ya soka

Angalau angebaki kwenye vipindi vya michezo tu
 
Kwahiyo jukumu la Eng Hersi ni kutafuta wachezaji na sio jukumu la Kocha? Na hapo hapo unamshauri kabisa eti atilie mkazo kwenye mawinga, wachambuzi wa mchongo
 
Mkifananisha na Ulaya jueni Ulaya final ni game 1 tu
 
Kwahiyo jukumu la Eng Hersi ni kutafuta wachezaji na sio jukumu la Kocha? Na hapo hapo unamshauri kabisa eti atilie mkazo kwenye mawinga, wachambuzi wa mchongo

Mkuu jukumu la kutafuta mchezaji kwa maana ya kufanyanaye deal nj swala la Hersi na sio Nabi

Jukumu la Nabi ni kusema anataka machezaji fulani au wa aina fulani halafu Hersi anaingia front kumtafuta
 
Mkuu jukumu la kutafuta mchezaji kwa maana ya kufanyanaye deal nj swala la Hersi na sio Nabi

Jukumu la Nabi ni kusema anataka machezaji fulani au wa aina fulani halafu Hersi anaingia front kumtafuta
Hakuna kitu kama hicho, yaan Kocha aseme nataka mchezaji mwenye sifa flan Kisha Rais ndio akamtafute ? Timu haijengwi hivyo aisee ninachojua kocha anakuwa ashamuona mchezaji akicheza akapendezwa naye ndipo anaongea na uongozi wamletee huyo mchezaji.
 
Hakuna kitu kama hicho, yaan Kocha aseme nataka mchezaji mwenye sifa flan Kisha Rais ndio akamtafute ? Timu haijengwi hivyo aisee ninachojua kocha anakuwa ashamuona mchezaji akicheza akapendezwa naye ndipo anaongea na uongozi wamletee huyo mchezaji.

Inawezekana tuna maanisha kitu kimoja lakini tunapishana lugha

Kocha na benchi lake la ufundi huwa WANATAKA mchezaji fulani au wa aina fulani

Kwa yanga Hersi huwa ANAWATAFUTA hao wanaotakiwa

Kwa muktadha huo Hersi akisema yeye ndie anayetafuta wachezaji anakua sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…