mwangalingimungu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,301
- 733
Hata kwa mwandishi wa habari, lazima kuwe na tofauti baina ya kutoa mawazo na 'kutoa povu'.Nadhani, Eddo katoa mawazo yake....kama we unavyotoa yako hapa na huku wengine tukitoa mawazo yetu kwenye mawazo yako...kama we ulivyotoa mawazo yako kutoka kwenye mawazo ya Edo. Nadhani Watz inabidi tujifunze kuheshimu mawazo ya mtu...hata kama ni kinyume cha mawazo yako
Sikumbuki Himid Mao kuishi miaka 12 mfululizo Zanzibar. Maana hicho ndio kigezo cha Mtanzania kutoka Tanzania Bara kuwa Mzanzibari. Kwa kuzaliwa yeye ni motto wa Mao Mkami, mchezaji wa zamani wa Pamba ya Mwanza. Yaliyosalia yanajieleza yenyewe kuwa yeye si Mzanzibari.
Leakey ni mpiga soga tu na mtu mwenye exposure.Bongo hapa mchambuzi asiye na makuu ni Dokta Leakey wengine wapo kishabikii/kitimu na kupenda sifa
Sasa mbona hata wewe unaonekana kanjanja ndomana unaandika ki swanglish yani hueleweki ulitaka kumaanisha nini mara "Soga","exposure","definition" jikite kwenye lugha moja tukuelewe unatetea niniLeakey ni mpiga soga tu na mtu mwenye exposure.
Mwalimu kashasha yule ndio definition ya mchambuzi.
Nilikua na mpango wa kukujibu shit, lakini nikagundua mimi ndie nilieanza kuku-quote.Sasa mbona hata wewe unaonekana kanjanja ndomana unaandika ki swanglish yani hueleweki ulitaka kumaanisha nini mara "Soga","exposure","definition" jikite kwenye lugha moja tukuelewe unatetea nini
Mpira ni historia. Mpira ni sayansi mpira ni arts (sanaa).Edo ni mzee wa historia yuko poor sana katika analysis.
Nauliza hivi Radhi Jaid yule Mtunisia alienda kucheza premier league akiwa na umri gani?!
Golikipa hata 45 anadaka. Golden Banks, Thomas Nkono,Shilton, Taffarell,Buffon ni zaid ya 39
Kashasha ni Mwl kwa kufundisha darasani na ni mwl Wa michezo. Aliwahi kuwa kocha miaka ya 1990.Leakey ni mpiga soga tu na mtu mwenye exposure.
Mwalimu kashasha yule ndio definition ya mchambuzi.
Mwalim KashashaBongo hapa mchambuzi asiye na makuu ni Dokta Leakey wengine wapo kishabikii/kitimu na kupenda sifa
CrrapEdo na Shafii Dauda ni wababaishaji kwny Michezo wanaojifanya wanajua kila kitu na kuponda kila kitu cha Bongo
na ni kweli hana 24.... ninauhakika asilimia200Tatizo la wabongo akikuambia ana miaka 24 ujue huyo ni 29
Na ndio maana akichambua mpira haleti stori,Kashasha hujikita katika kuelezea technical na tactical side ya mchezo.Hawa wengine ni historia tu na blah blah blah kibao.Kashasha ni Mwl kwa kufundisha darasani na ni mwl Wa michezo. Aliwahi kuwa kocha miaka ya 1990.
Ni mwl Wa Paul Rwechungula,Dhikiri mchumila, akiwa Musoma. Nakumbuka taifa cup Moja tulikutana Shinyanga.