Edo Kumwembe umechemka.

Edo Kumwembe umechemka.

Nadhani, Eddo katoa mawazo yake....kama we unavyotoa yako hapa na huku wengine tukitoa mawazo yetu kwenye mawazo yako...kama we ulivyotoa mawazo yako kutoka kwenye mawazo ya Edo. Nadhani Watz inabidi tujifunze kuheshimu mawazo ya mtu...hata kama ni kinyume cha mawazo yako
Hata kwa mwandishi wa habari, lazima kuwe na tofauti baina ya kutoa mawazo na 'kutoa povu'.
 
Sikumbuki Himid Mao kuishi miaka 12 mfululizo Zanzibar. Maana hicho ndio kigezo cha Mtanzania kutoka Tanzania Bara kuwa Mzanzibari. Kwa kuzaliwa yeye ni motto wa Mao Mkami, mchezaji wa zamani wa Pamba ya Mwanza. Yaliyosalia yanajieleza yenyewe kuwa yeye si Mzanzibari.

Nashukuru mkuu nilisikia ni mzanzibar
 
Sio lazima asifiwe na kila mtu coz atabweteka akijua kuna watu wanamkatisha tamaa atapambana kuwaprove wrong hivyo ndivyo maisha yalivyo. Usiforce watu wafanane mawazo Wangapi wamesifiwa na bado wamezingua
 
Mkuu nimependa sana uchambuzi wako ila naomba kama uko instagram umuandikie hii na umtag kabisa aisome ..
 
Leakey ni mpiga soga tu na mtu mwenye exposure.
Mwalimu kashasha yule ndio definition ya mchambuzi.
Sasa mbona hata wewe unaonekana kanjanja ndomana unaandika ki swanglish yani hueleweki ulitaka kumaanisha nini mara "Soga","exposure","definition" jikite kwenye lugha moja tukuelewe unatetea nini
 
Sasa mbona hata wewe unaonekana kanjanja ndomana unaandika ki swanglish yani hueleweki ulitaka kumaanisha nini mara "Soga","exposure","definition" jikite kwenye lugha moja tukuelewe unatetea nini
Nilikua na mpango wa kukujibu shit, lakini nikagundua mimi ndie nilieanza kuku-quote.
 
ngoja ni copy nikapaste wa page yake...ha ha
 
Edo ni mzee wa historia yuko poor sana katika analysis.
Nauliza hivi Radhi Jaid yule Mtunisia alienda kucheza premier league akiwa na umri gani?!
Mpira ni historia. Mpira ni sayansi mpira ni arts (sanaa).
Mpira ni process. Garry Neville alikuwa mchambuzi mzuri sana lakini ni kocha mbovu (Valencia alifukuzwa).
Football is a discipline game.
 
Leakey ni mpiga soga tu na mtu mwenye exposure.
Mwalimu kashasha yule ndio definition ya mchambuzi.
Kashasha ni Mwl kwa kufundisha darasani na ni mwl Wa michezo. Aliwahi kuwa kocha miaka ya 1990.
Ni mwl Wa Paul Rwechungula,Dhikiri mchumila, akiwa Musoma. Nakumbuka taifa cup Moja tulikutana Shinyanga.
 
Kashasha ni Mwl kwa kufundisha darasani na ni mwl Wa michezo. Aliwahi kuwa kocha miaka ya 1990.
Ni mwl Wa Paul Rwechungula,Dhikiri mchumila, akiwa Musoma. Nakumbuka taifa cup Moja tulikutana Shinyanga.
Na ndio maana akichambua mpira haleti stori,Kashasha hujikita katika kuelezea technical na tactical side ya mchezo.Hawa wengine ni historia tu na blah blah blah kibao.
 
Back
Top Bottom