Edouard Mendy vs Mohamed Salah Mchezaji bora wa Mwaka Afrika nan anastahili?

Edouard Mendy vs Mohamed Salah Mchezaji bora wa Mwaka Afrika nan anastahili?

Nadai Reason chief kwa nn Mendy na Sio Salah
Eduardo Mendy msimu uliopita kabeba UCL na Super cup.

Wakati huo Salah alikuwa anapigania kufika top four.

Msimu huu Mendy ndiyo golikipa mwenye saves nyingi zaidi probably na cleansheet pale EPL.

Bado unahitaji sababu gani zingine zaidi ya hizo ?
 
Eduardo Mendy msimu uliopita kabeba UCL na Super cup.

Wakati huo Salah alikuwa anapigania kufika top four.

Msimu huu Mendy ndiyo golikipa mwenye saves nyingi zaidi probably na cleansheet pale EPL.

Bado unahitaji sababu gani zingine zaidi ya hizo ?
Nahisi hakuna nyingine zaidi ya hizo ila kama zipo nazihitaji niFahamu chief
 
Twende kazi mkuu. Tetea jibu
Salah kashafanya mengi mkuu najua unajua, Mendy pua ni mzuri kwenye eneo lake ila linapokuja suala la kulinganisha golikipa na mshambuliaji siku zote mzani utaegemea upande mmoja.

Wote ni mashahidi, kuna nyakati Manuel Neuer alikuwa bora sana duniani ila ilipokuja ballon d'or mbele ya Messi hakuamini macho yake, tuzo ilienda kwa Messi kirahisi mno!!

Ndio maana kuna watetezi wamekuja na hoja, magolikipa washindanishwe kivyao sio na wachezaji wa ndani!!

Nafikiri umenisoma mkuu
 
Yeah muanzisha uzi ni Chelsea lakin ni mpenda soka haswa naangalia mechi nyingi za team tofauti na ligi tofauti kila nikipata nafasi

ila dunia kumzungumzia Salah ni kawaida kwa dunia kuwazungumzia washambuliaji na kuwasahau wachezaji wa maeneo mengine Mabeki, Viungo, Magolikipa ilhali wao pia wanamchango mkubwa katika ushindi wa timu Salah angekua anafunga lakini Liverpool hawashindi mechi Nan angemzungumzia? Bila Van Dijk, Alison na viungo kutengeneza nafas Salah angekua Nan?
Sasa Mkuu unadhani watu wote Duniani manguli na manguli toka miaka na miaka unataka kusema hawaoni umuhimu wa Makipa,mabeki na viongo hadi karne na karne wawe wanaangalia maforward tu??

Ukweli ni kuwa kwenye soccer ugumu upo katika kufunga magoli na kuwapata wafunga magoli ni kazi ngumu kuliko kuwapata mabeki na viungo.na ndio maana Siu zote maforwad wana mishahara mikubwa.

Kama uliwahi kucheza mpira utakuwa unakifahamu hilo.
 
"Ukweli ni kuwa kwenye soccer ugumu upo katika kufunga magoli na kuwapata wafunga magori ni kazi ngumu kuliko kuwapata mabeki na viungo.na ndio maana Siu zote maforwad wana mishahara mikubwa."
Econometrician Sikubishii hili Kwan Goals are what win football match lakini Point tatu zinaweza kubaki a salama endapo ukiwa na Kipa na backline imara bila ya hivyo work done=0
 
Ningekuwa mpiga kura,ningempa Mendy..tukitoa msimu huu ambao bado unaendelea..Msimo Uliopita amefanya makubwa sana..
Jorginho alipewa tuzo kwa mafanikio ya Chelsea na Italy..nadhani tukitumia vigezo hivyo hata Mendy atapewa .
Nb...Kwa heshima asiyopewa Sane.. alistahili japo kuzungumziwa..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Eduardo Mendy msimu uliopita kabeba UCL na Super cup.

Wakati huo Salah alikuwa anapigania kufika top four.

Msimu huu Mendy ndiyo golikipa mwenye saves nyingi zaidi probably na cleansheet pale EPL.

Bado unahitaji sababu gani zingine zaidi ya hizo ?
Wakati salah anaitafuta top four mendy alikuwa kashaipata tayari? Messi alichukua ballon d' or bila kuwa na hayo makombe
 
Salah kashafanya mengi mkuu najua unajua, Mendy pua ni mzuri kwenye eneo lake ila linapokuja suala la kulinganisha golikipa na mshambuliaji siku zote mzani utaegemea upande mmoja.

Wote ni mashahidi, kuna nyakati Manuel Neuer alikuwa bora sana duniani ila ilipokuja ballon d'or mbele ya Messi hakuamini macho yake, tuzo ilienda kwa Messi kirahisi mno!!

Ndio maana kuna watetezi wamekuja na hoja, magolikipa washindanishwe kivyao sio na wachezaji wa ndani!!

Nafikiri umenisoma mkuu
Basi pawepo na tuzo kwa kila eneo, sio hii ya kufavour washambuliaji tu.

Wakifanya hivyo kila mtu kwa nafasi yake atatendewa haki
 
Africa ss naona tuna upungufu wa wachezaji wa ndan na huko duniani
Kuna kipindi hii tuzo unakuta majina ni etoo drogba aboutrika etc
Ss hv tuna kipa na mshambuliaji dooh
 
Africa ss naona tuna upungufu wa wachezaji wa ndan na huko duniani
Kuna kipindi hii tuzo unakuta majina ni etoo drogba aboutrika etc
Ss hv tuna kipa na mshambuliaji dooh
Kipa kama ana performance nzuri hastahili kuwepo kwenye kinyang'anyiro mkuu?
 
Back
Top Bottom