Malalamiko mengine tuwaachie wanawake(madem) tu mkuu !
Sasa we una mwonekano wa kistaa kwani !
Labda tuanzie hapo !
Malalamiko mengine tuwaachie wanawake(madem) tu mkuu !
Sasa we una mwonekano wa kistaa kwani !
Labda tuanzie hapo !
ndio maana wabongo tunaharibu mambo mengi coz hatujielewi tunafanya vitu kama fashion tuu....nna wasi wasi hata na wewe waonekana mchimba chumvi tuu na utakua unafanya kitu usichoendana nacho!
You've no any Idea concerning me man !
Go to sleep n have a nice day !
Huyu mtuu hafai kwenye tv kiukweli.kwa sisi wenye cv za media huyu hatoshi my be awe producer and sio presenter wa kipindi maana sifa za kila kipindi kuna hitaji nature ya watu flani.mfano umchukue bidazani atangaze michezo so my be huyu jamaa achagua kitu kisicho switch na attitude yake.
But media tanzania inachalange kubwa kwenye.tv
Una Cv gani kidampa wewe unaandika ushuzi..tasnia ya habari na mawasiliano ni adhim, kwasasa Azam Tv haina mpinzani, hizo takataka zenu bakini nazo, umejiita una Cv ya media, kwanini Channel Ten haikui miaka yote wakati Azam ina mwaka tu na tuzo lukuki? Ukijibu hili nakutumia tgo pesa!
Kwa wale mnaofatilia show ya wallpaper startv mtakua mnamfaham huyu jamaa..mie binafsi sijamkubali huyu mshkaji naona hana swagga na maujanja ya kuwepo pale...pia hata mwonekano wa kistaa hana kabisa bora akatangaze kipindi cha michezo tu...ni maoni yangu wakuu
Kama alivyosema lawyer
kaka Ruttashobolwa uko sawa kabisa maana kuna kipindi sauda mwilima alivyoolewa then akapata matatizo na ujauzito wake kuna huyo. mdada alianza kutazamani jaman unaweza kulia na kuona taaluma imeingiliwa sasa.
ni muda wawe makin na uchaguzi wa watangazaji kwakweli.
Vipindi vyao vimepooza balaa kiasi cha kwamba nilikuwa natamani waanzishe channel nyingine inayoenda na wakati na wawaajiri wanaoenda na wakati na hii chaneli ya sasa iendelee kama kawaida na vipindi vyao vya kilimo,ufugaji na mambo ya vijijini.Star tv ilikuwa inawafikia wengi hata kabla ya digital ni kituo kikubwa watambue hilo.
Mnae mdiskasi huyo hapo sasa
Malalamiko mengine tuwaachie wanawake(madem) tu mkuu !
Sasa we una mwonekano wa kistaa kwani !
Labda tuanzie hapo !
Una Cv gani kidampa wewe unaandika ushuzi..tasnia ya habari na mawasiliano ni adhim, kwasasa Azam Tv haina mpinzani, hizo takataka zenu bakini nazo, umejiita una Cv ya media, kwanini Channel Ten haikui miaka yote wakati Azam ina mwaka tu na tuzo lukuki? Ukijibu hili nakutumia tgo pesa!