Sikubaliani na wewe hata kidogo kwani kuna namna nyingi sana kumjibu adui yako kakaa kimya ni njia moja wapo!Kama ulifikiria imekujengea historia yoyote ya maana, basi aliyekushauri amekudanganya/amekupoteza. Hata huyo aliyekupokea naye anaingia katika historia za wanasiasa wa hovyo katika historia ya siasa za Tanzania. Kama kuna historia concrete itaandikwa na wana vyuoni, basi jina lako litaandikwa kwnye karatasi za mawe!
Ungeli retire siasa labda ingelikujengea heshima zaidi. Kashifa za ufisadi unaotuhumiwa nao hakuna mwenye ushahidi usiokuwa na mashaka! Hivyo bado heshima yako ingelisimama
Bongo taifa lililojaa mang'ombe kuanzia juu hadi chiniUkistaajabu ya Mussa utayaona ya Magufuli na Polepole.
Hawa watu wawili walitushambulia sana eti mafisadi yamewakimbia na yamehamia Chadema. Sisi kweli kama Chadema tulibanwa sana kuhusu Lowassa ila tulijikongoja tuu. Kiuhalisia mwaka 2015 tulipoteza uhalisia wetu kichama ingawa Lowassa kweli alikuwa mtu wa watu. Tulilazimika kuwafanya wengine kukaa kimya maana kama chama tuliua agenda zetu kuu. Hatimaye sasa tutapumua.
Nimeshangazwa sana na mapokezi ya kifalme aliyopewa Lowassa huku serikali kuu zaidi ya nusu wakihamia Lumumba kwenda kumpokea mkubwa yule. Ni kwa mara ya kwanza kuona mtu akipokewa na viongozi wote wakuu wa chama na serikali. Mtu ambaye watu hao hao walidai kawakimbia! Leo wao ndiyo waliomkimbilia! Mbaya zaidi Magufuli anampokea Lowassa huku akiwa kasimamiwa na See la mipango aka Rostam Aziz. Dah kweli dunia ina mambo.
Lowassa najua amerudi CCM ili kulinda fursa zake kibiashara pamoja na hatima yake ya uzeeni. Ni hayo tu.
Nasubiri kuona sasa mapovu ya kina Polepole na Bashiru baada ya madon kujihakikishia kuwa sasa wamemzunguka mkubwa wao. Acha kabisa siasa hizi za kibongo. Pia nasubiri neno la Slaa (Najua hatosema chochote maana anatumikia)
Dr Slaa alisimamia anachoamini hadi sasa kuhusu ufisadi na utaratibu mbovu uliotumika kuwapokea hawa jamaa. Ameachana na siasa kwasababu hii ili kulinda heshima yake.Huyo Slaa ana msimamo gani hadi akaenda kuungana na wale aliokuwa akiwatuhumu kuhusika kwa maovu yote ya nchi hii?
Huyo Dr Slaa aliyesema kuwa shambulio la mh Lissu ni la kawaida sana ndio unamuona mfano wa watu wenye misimamo?
Dr Slaa njaa tu inamsumbua
Masikini hana kiapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, comment yaako naitunza, yaweza kua reference hapo baadaeKwa heri Ruge karibu Lowasa, liko wazi Lowasa angerudi Ccm thus alianza kumtanguliza Karanga ili jimbo LA Monduli lirudi ccm,wanaweza wakawa wamerudi kwa jiwe ili wamuangamize kumbuka hawa mapacha watatu ni watoto wa mjini wako kitambo hawajaja mjini wakubwa,ngoja tuchek sarakasi zitakavopigwa uenda jiwe akaliwa kichwa akiingia 18 ya mapacha hawa.Muda ni mwalimu
Nitasema kuhusu Lowasa baadaye, Nina mengi ya kusema kuungana na yako na mengine kupingana na wewe. Lakini kwangu bado Lowasa anabaki Lowasa.Yule mzee ni afadhali tu acheni aende bhna mana mtu mwenyew ata kutembea hawezi ^hakua na msaada wowote kwetu bora katupunguzia mzigo [emoji58]
Hana njaa kabisa
Unatumia mantiki moja tu ya kuhama vyama lakini hutaki kuangalia tofauti kati ya Dr Slaa na Lowasa status zao wakati wanahama.Kwa ukumbusho tu...
Dr. Slaa alihamia Chadema akitokea CCM baada ya jina lake kukatwa kwa namna ile ile Lowassa alivyohamia Chadema kutoka CCM baada ya jina lake kukatwa.
Dr. Slaa baada ya kukaribishwa Chadema alipewa fursa ya kugombea nafasi ile ile aliyoikosa CCM na hivyo hivyo Lowassa naye baada ya kukaribishwa Chadema alipewa fursa ya kugombea nafasi ile ile aliyoikosa CCM.
Tofauti ni kwamba Dr. Slaa alishinda uchaguzi lakini Lowassa alinyimwa ushindi. Naomba tu tuweke kumbukumbu sahihi...wote wawili waliikuta Chadema ikawasetiri na hakuna ajabu wakiamua kwa nyakati tofauti kurudi nyumbani CCM.
Wote wawili hakuna aliyeonja ladha ya kupigania mageuzi nchini, walikuwa wanakula kivulini wanamageuzi wakihangaika juani. Wote wawili hawajui gharama za kudai mabadiliko waliyolipa wana mageuzi.
Best ukiwa na account ya foreign currency kwasasa ni kosa la jinai. Zinamezwa.
Dr Slaa si mwanasiasa tena hivyo hayana impact kwake. Alafu kumbe mlikuwa mnajua hizi blunders lakini mlivyokuwa mnamtetea sasa! Tukiwaita wanafiki tunakosea mkuu?Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Magufuli na Polepole.
Hawa watu wawili walitushambulia sana eti mafisadi yamewakimbia na yamehamia Chadema. Sisi kweli kama Chadema tulibanwa sana kuhusu Lowassa ila tulijikongoja tuu. Kiuhalisia mwaka 2015 tulipoteza uhalisia wetu kichama ingawa Lowassa kweli alikuwa mtu wa watu. Tulilazimika kuwafanya wengine kukaa kimya maana kama chama tuliua agenda zetu kuu. Hatimaye sasa tutapumua.
Nimeshangazwa sana na mapokezi ya kifalme aliyopewa Lowassa huku serikali kuu zaidi ya nusu wakihamia Lumumba kwenda kumpokea mkubwa yule. Ni kwa mara ya kwanza kuona mtu akipokewa na viongozi wote wakuu wa chama na serikali. Mtu ambaye watu hao hao walidai kawakimbia! Leo wao ndiyo waliomkimbilia! Mbaya zaidi Magufuli anampokea Lowassa huku akiwa kasimamiwa na zee la mipango aka Rostam Aziz. Dah kweli dunia ina mambo.
Lowassa najua amerudi CCM ili kulinda fursa zake kibiashara pamoja na hatima yake ya uzeeni. Ni hayo tu.
Nasubiri kuona sasa mapovu ya kina Polepole na Bashiru baada ya madon kujihakikishia kuwa sasa wamemzunguka mkubwa wao. Acha kabisa siasa hizi za kibongo. Pia nasubiri neno la Slaa (Najua hatosema chochote maana anatumikia)