kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
Rostam katoa Chanel ten, na Lowasa juu kama sharti..(wote mnajua)
Dumelang
Wee Liccm pambana na hali yako. Jiwe amejinyenyekeza mbele ya mkubwa itakuwa wewe sisimizi! CCM ya madon imerudi. Pia ambia kina Polepole waufyate sasa.[/QUOTE
Hii inanifanya nijiulize kati ya JPM na Lowassa nani anajua majungu ndani ya chama kuliko mwenzake? naishia kuona kundi moja likiangukia kwenye "Lose - Lose situation" wakati likifikiri kuwa lipo kwenye Win Win situation...indicators zitaonekana mapema kabla ya chaguzi za mitaa kuanza
wote akina Mahanga na kampani yao yote na Nyalandu wako mbioniHawala yake Hamis Mgeja, sijui naye atamfuata huko lini!?
Zingekuwa kura ndio zinazoamua wasingekuruhusu upigeNdo maana sipigi kura
Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
Mimi namuonea huruma sana slaaUkistaajabu ya Mussa utayaona ya Magufuli na Polepole.
Hawa watu wawili walitushambulia sana eti mafisadi yamewakimbia na yamehamia Chadema. Sisi kweli kama Chadema tulibanwa sana kuhusu Lowassa ila tulijikongoja tuu. Kiuhalisia mwaka 2015 tulipoteza uhalisia wetu kichama ingawa Lowassa kweli alikuwa mtu wa watu. Tulilazimika kuwafanya wengine kukaa kimya maana kama chama tuliua agenda zetu kuu. Hatimaye sasa tutapumua.
Nimeshangazwa sana na mapokezi ya kifalme aliyopewa Lowassa huku serikali kuu zaidi ya nusu wakihamia Lumumba kwenda kumpokea mkubwa yule. Ni kwa mara ya kwanza kuona mtu akipokewa na viongozi wote wakuu wa chama na serikali. Mtu ambaye watu hao hao walidai kawakimbia! Leo wao ndiyo waliomkimbilia! Mbaya zaidi Magufuli anampokea Lowassa huku akiwa kasimamiwa na zee la mipango aka Rostam Aziz. Dah kweli dunia ina mambo.
Lowassa najua amerudi CCM ili kulinda fursa zake kibiashara pamoja na hatima yake ya uzeeni. Ni hayo tu.
Nasubiri kuona sasa mapovu ya kina Polepole na Bashiru baada ya madon kujihakikishia kuwa sasa wamemzunguka mkubwa wao. Acha kabisa siasa hizi za kibongo. Pia nasubiri neno la Slaa (Najua hatosema chochote maana anatumikia)
Chanel ten siyo ya Manji?Rostam katoa Chanel ten, na Lowasa juu kama sharti..(wote mnajua)
Dumelang
Sio wewe peke ako mimi nilihoji hiyo ishu huku mtaani kwetu
Huu ni msimamo wangu tangu awali.Ninachokuuliza wewe kada wa Lumumba, je ufisadi wake umetoweka ghafla, hadi siku ya kurejea kwake CCM apokelewe na viongozi wakubwa kabisa ndani ya nchi, Rais Magufuli na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa??
Siku nyingine ni bora ukajipange kabla ya kuleta uzi!Hivi ni kwa vipi yule aliyeitwa fisadi no 1 nchini siku ya kurejea kwake CCM apokelewe kwa nderemo kubwa na Mheshimiwa Rais na Waziri Mkuu wake??
Una akili ya kitoto! Kwani hakwenda ikulu wakati yupo Chadema?Ninachokuuliza wewe kada wa Lumumba, je ufisadi wake umetoweka ghafla, hadi siku ya kurejea kwake CCM apokelewe na viongozi wakubwa kabisa ndani ya nchi, Rais Magufuli na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa??
Hahahaaa nakumbuka wakati yuko chadema alisimama akasalimu kidumu chama cha mapinduzi! Wakamkumbusha sema pipoooozz.Kuna siku mimi nilihoji humuhumu JF.
Huyu Mzee mbona havai sare za chadema?[emoji1321]♂️
Ohoo mkuu manji hajawai miliki media. African media ni ya Rostam sasa ni ya CCM. Humo ndani kuna chanel 10, magic fm etc
HahahDr. Slaa sasa upo tayari kufanya kazi na choo, wakati ule uliikimbia ukasema ilikiwa sebureni lakini harufu ikakutoa nduki, sasa imerejea chumbani kabisa...tunasubiri ufafanuzi wako
Kwa sasa ye si yupo nje ya hio nyumba kwahio harufu haimfikii kabisa. Wacha aendelee kula ubalozi!Dr. Slaa sasa upo tayari kufanya kazi na choo, wakati ule uliikimbia ukasema ilikiwa sebureni lakini harufu ikakutoa nduki, sasa imerejea chumbani kabisa...tunasubiri ufafanuzi wako