Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

complected, duh.
kuna statement moja alisema Sumaye siku wastaafu walivyoitwa ikulu' kuwa kwangu upinzani ni kwa manufaa ya CCM' hii kauli utata mtupu sijui alijisahau. ila siwaonei huruma wapinzani ni wajinga toka lini mpenzi wa Yanga akahamia Simba halafu na cheo juu. wote ni tamaa tu madaraka hujui wanasimamia nini.CCM watawale tu ila siasa cha uchumi wabadilishe
 
Kinachofurahisha CCM na CHADEMA walimchafua LOWASA kwa kumuita fisadi na wote kwa pamoja wakamsafisha. Safi kabisa hiyo ndiyo akili kubwa.
Usijifarij tuambie lowassa ni asset au liability kwa sasa huko ccm?
 
Hahahaaa nakumbuka wakati yuko chadema alisimama akasalimu kidumu chama cha mapinduzi! Wakamkumbusha sema pipoooozz.
Yeye hakuwahi kuvaa safe za cdm sawa.Nawaomba humu mwenye picha ye-yote ya mwanzilishi wa TANU Na sasa CCM ALIPOVAA SARE ZA HIKI CHAMA Pendwa CCM ATUPIE HUMU.Sio kuhoji safe za Cdm na ma mvi sare za CCM NA Mwl alizovaa TUPIENI PICHA HUMU TUONE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia Ruge,Lowassa na huyo Magufuli a.k.a jiwe ni wanafiki tu.Nchi hii itapata ukombozi kupitia sisi wananchi wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli ndugu yangu Mtanzania.
Hapa najaribu kuwaza kwa sauti: Hivi huyu Bashite aliyevamia OFISI ZA CLOUDS na baadaye KUNGIWA KIFUA na JIWE amefika msibani? Hizi akili za kina Bashite na Jiwe kweli zinahitaji UKOMBOZI MKAMILIFU....!!!
 
Who is ruge? Tunashukuru Jiwe kupokea huyo mzee jumla jumla. Ni vema akastaafu tu siasa apumzike umri umesha mtupa mkono
 
Mara zote huwa tunasema upinzani hawana hoja Lowasa ametusaidia tena kuona namna upinzani ulivyo mufilisi kisiasa..siasa zao ni za kilaghai..
 
Raisi utamuona leo,afu kuna wawakilishi pia wa Mh Rais nao nadhani umewaona. kwahiyo kuwa na subira mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha longolongo wewe.
Unataka kuniambia pale Lumumba kwenye kumpokea Lowasa hakukuwa na Wawakilishi wa Rais au Mwenyekiti wa CCM(T)?
I'll never buy that cheap and non-sense!
 
Marehemu aligoma kiirusha ile Shilawadu ya kumuumbia Ngwajima wakati mzee akiwa live anaisubiria ...hadi ikapelekea maumivu kwa Nape na wengine wengi....RIP Ruge...kuna wakati mamlaka nazo hucheza faulo za waziwazi.
 
Amezidiwa, kila alichokijenga kwa jasho na damu kilikuwa njiani kupotea, ameamua kimwili, kiakili na kiroho hana amani na maamuzi haya, lakini heri maisha yake na kizazi chake kuliko kuishupaza shingo katika vita ambayo hatashinda

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
NEXT IS MBOWE, LISSU, LEMA NA MSIGWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…