ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Kweli Rostam ni mbunifu. Amestaafu siasa. Ameuza hisa zake Vodacom kwani Sasa inalipa kodi na faida imekuwa ndogo na sasa amewapa ccm channel 10 kwani ilikuwa ni hasara tupu. Amemwombea rafiki Lowasa apokelewe ccm ili asifilisike kabisa baada ya kunyang'anywa mashamba. Sasa wote wamestaafu vizuri. Ufisadi kwisha.!!!Tunajua mali za Rostam ni za Lowassa hivyo wanarudi ccm kuitafuna tena.
Na majuzi Rostam amewapa channel 10 safari ya ikulu imezaa haya
Nani ana ugonjwa wa akili?
Tangu jana mpaka muda vijana wa bavicha wamepandisha nyuzi nyingi sana kumuhusu Lowassa,
Kuhama kwake wengi wanajifanya kutoshangazwa wala kushitushwa na uondokaji wake.
Lakini kitendo cha kufungua nyuzi mfululizo linatoa picha ni jinsi gani hili jambo limewauma kuliko hata shambulizi la Lissu kupigwa risasi,
Shambulizi baya mlengaji amepiga pigo moja lenye uzani na uchungu mwingi,kila wakikumbuka walivyomtetea na kutukana watu,walivyodeki barabara,waliamua kumtosa mtu muhimu dkt slaa kwa mustakabali wa matumbo yao na tamaa ya kuingia ikulu kwa kutumia silaha yeyote iliyopo mbele.
Ama kwa hakika vijana wamechanganyikiwa ndio kwanza hakusubiri mbowe atoke gerezani, ndio kwanza ametuonyesha Lowassa alikuwa peke yake ndani ya chadema.
Kama alivyoibuka ikulu bila itelejensia kujua ,ndivyo alivyopata mualiko katika ufunguzi wa maktaba ya chuo kikuu ,na ndivyo alivyoondoka jana na kuibukia Lumumba.
Alishawambia mkiona mtu anahama chama vuteni shuka zenu mjifunike mpaka usoni.
Bavicha wamepaniki rasmi wameamua kurudisha jina lake pendwa fisadi wakati alipokuwepo huko walimtetea kwa kila hali!
Vijana mmepaniki!
Hizo press zilizopita nini matokeo yake?Tukutane congress huko Marekani April
Kwa kweli Lowassa amejijengea heshima kubwa dunia kote kukataa kuwa kibaraka WA mabeberu na kuangalia maslahi mapana ya nchi yake .Mbona Laira na Kenyatta walimaliza tofaut zao Mara baada ya uchaguzi kuisha ,kwanini isiwe Magufuli na Lowassa?
hujasoma historia ? kasome maana ya beberu kisha uje utwambie kama ccm kama tasisi co ya kibwenyewe? kwani rostam azizi/ mshenga sio beberu?Kwa kweli Lowassa amejijengea heshima kubwa dunia kote kukataa kuwa kibaraka WA mabeberu na kuangalia maslahi mapana ya nchi yake .Mbona Laira na Kenyatta walimaliza tofaut zao Mara baada ya uchaguzi kuisha ,kwanini isiwe Magufuli na Lowassa?
Tangu jana mpaka muda vijana wa bavicha wamepandisha nyuzi nyingi sana kumuhusu Lowassa,
Kuhama kwake wengi wanajifanya kutoshangazwa wala kushitushwa na uondokaji wake.
Lakini kitendo cha kufungua nyuzi mfululizo linatoa picha ni jinsi gani hili jambo limewauma kuliko hata shambulizi la Lissu kupigwa risasi,
Shambulizi baya mlengaji amepiga pigo moja lenye uzani na uchungu mwingi,kila wakikumbuka walivyomtetea na kutukana watu,walivyodeki barabara,waliamua kumtosa mtu muhimu dkt slaa kwa mustakabali wa matumbo yao na tamaa ya kuingia ikulu kwa kutumia silaha yeyote iliyopo mbele.
Ama kwa hakika vijana wamechanganyikiwa ndio kwanza hakusubiri mbowe atoke gerezani, ndio kwanza ametuonyesha Lowassa alikuwa peke yake ndani ya chadema.
Kama alivyoibuka ikulu bila itelejensia kujua ,ndivyo alivyopata mualiko katika ufunguzi wa maktaba ya chuo kikuu ,na ndivyo alivyoondoka jana na kuibukia Lumumba.
Alishawambia mkiona mtu anahama chama vuteni shuka zenu mjifunike mpaka usoni.
Bavicha wamepaniki rasmi wameamua kurudisha jina lake pendwa fisadi wakati alipokuwepo huko walimtetea kwa kila hali!
Vijana mmepaniki!
Jamaa anafanya akiwa na malengo yake kichwaniA.k.a the king maker. This guy ni moja ya watu wenye mbinu za kipekee kwenye siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Kwamba huko ndio Lowasa atarudi tena chadema?Tukutane congress huko Marekani April
Endelea kutafakari huku ukikijaza kibubu kwa ajili yako na familia yako. Ishi maisha yako, ukiwatafakari sana wanasiasa utapasuka kichwa bure. Siasa ni ngumu kuliko physics.
Mwanasiasa mzuri zaidi ni yule mnafiki mzuri zaidi asiye na aibu
Sijui kama mtoa post ana akili..Mkuu Ruge ni nani katika Taifa hili kiasi Rais kutakiwa kuwajibika kwa mfumo unaoutaka wewe?Ruge ni nani huko chadema kiasi Rais kutohudhuria msiba wake ni kuwaumiza wapinzani?Ulitaka shughul zote zisimame kisa Ruge?Kuna mamilioni ya watanzania hawamjui huyo Ruge na hata wanaomjua wanamjua sio kwa kiasi ambacho unataka wewe Rais afanye.
Licha ya hivyo Rais katoa ndege, juzi viongoz wengi sana as serikali walikuwepo pale hadi msemaji wa serikali alikuwepo. Mambo yote aliyofanya we huyaoni kabisa?Tupunguze Majungu.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Kuondoka huyu jamaa CDM, ni neema kwao..Lowassa tamaa ya kuwa Raisi ndio iliyomuondoa Chadema, anajua fika Lissu ndio habari ya Mjini, anajua kuwa hana uwezo wa kumkabili Lissu katika kinyang'anyiro cha kupepea bendera ya Uraisi kupitia ChademaChadema tumefarijika sana kwa huyu mzee kurudi kwao. Alikuwa antukwaza sana.
Maalim kichwa ngumu, Juma duni MTU makini sana lkn nae kaingizwa cha kike