Wewe unaishi Tanzania na Dunia ya wapi....???
Rugemalira Mutahaba(Boss Ruge)-Mkurugenzi na mzalishaji wa Vipindi vya CLOUDS MEDIA GROUP(CMG).
Anaeiua chadema ni mbowe.....!!!!
Ngoja aendelee kusota huko! Akamwekaa katibu mkuu wa ma vyeti, hana ushawishi wowote kwa wananchi....!!! Inabidi wajipange upya! Katibu mkuu kiatu kimewapwaya!
Wewe umejibu?Kwa walivyo wanafiki hutawaona hapa kujibu hoja yako
Anaeiua chadema ni mbowe.....!!!!
Ngoja aendelee kusota huko! Akamwekaa katibu mkuu wa ma vyeti, hana ushawishi wowote kwa wananchi....!!! Inabidi wajipange upya! Katibu mkuu kiatu kimewapwaya!
Tumia akili kijana, kuwa supplier wewe kwa mtazamo wako unaona inahitaji uwe genius..ndiyo maana kwenye kashfa ya richmond kamati ilipokwenda kuongea na waliotengeneza hizo genereta wenye akili waliwauliza mbona nchi nyingine za africa serikali huwa inakuja yenyewe kama inahitaji hizi genereta?? kwenu Tanzania mnahitaji dalali kwa nini??? fikiri vzr kama unadhani Barrick hawawezi nunua hizo equipment toka kwa manufacturer..Barrick na Acacia are not stupid kumpa asiye na uwezo. Sio tender za serikali au CCM. Advantage aliyokuwa nayo ni kwamba yeye ni major supplier wa heavy machinery za mining.
Mkuu El alisafishwa na chadema kwamba ni mtu safo,kea hiyo sehemu ye yote atakayo kwenda anakwenda na utakatifu kutoka chadema.Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Magufuli na Polepole.
Hawa watu wawili walitushambulia sana eti mafisadi yamewakimbia na yamehamia Chadema. Sisi kweli kama Chadema tulibanwa sana kuhusu Lowassa ila tulijikongoja tuu. Kiuhalisia mwaka 2015 tulipoteza uhalisia wetu kichama ingawa Lowassa kweli alikuwa mtu wa watu. Tulilazimika kuwafanya wengine kukaa kimya maana kama chama tuliua agenda zetu kuu. Hatimaye sasa tutapumua.
Nimeshangazwa sana na mapokezi ya kifalme aliyopewa Lowassa huku serikali kuu zaidi ya nusu wakihamia Lumumba kwenda kumpokea mkubwa yule. Ni kwa mara ya kwanza kuona mtu akipokewa na viongozi wote wakuu wa chama na serikali. Mtu ambaye watu hao hao walidai kawakimbia! Leo wao ndiyo waliomkimbilia! Mbaya zaidi Magufuli anampokea Lowassa huku akiwa kasimamiwa na zee la mipango aka Rostam Aziz. Dah kweli dunia ina mambo.
Lowassa najua amerudi CCM ili kulinda fursa zake kibiashara pamoja na hatima yake ya uzeeni. Ni hayo tu.
Nasubiri kuona sasa mapovu ya kina Polepole na Bashiru baada ya madon kujihakikishia kuwa sasa wamemzunguka mkubwa wao. Acha kabisa siasa hizi za kibongo. Pia nasubiri neno la Slaa (Najua hatosema chochote maana anatumikia)
You have no idea mining industry in operate vipi dogo. Waingie tena kununua vifaa? Tender za heavy machinery ni competitive sana. Barrick wanajua kama wanapigwa au la.Tumia akili kijana, kuwa supplier wewe kwa mtazamo wako unaona inahitaji uwe genius..ndiyo maana kwenye kashfa ya richmond kamati ilipokwenda kuongea na waliotengeneza hizo genereta wenye akili waliwauliza mbona nchi nyingine za africa serikali huwa inakuja yenyewe kama inahitaji hizi genereta?? kwenu Tanzania mnahitaji dalali kwa nini??? fikiri vzr kama unadhani Barrick hawawezi nunua hizo equipment toka kwa manufacturer..
Don't be caught by surprise. Nikiangalia vizuri binafsi sio mtu potential kugombea raisi 2020 licha ya Lowasa au Majaliwa. Ila pia tujue lowasa mpaka kurejea ccm kuna sababu nyingi ila mojawapo nahisi ni ni la uraisi au kupata kitu kikubwa. Ni mtazamo wangu roughlyWaziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] mmebaki wachache sana wanawake wa aina yakoWanawake hatutaki ujingaa na undumilakuwili