Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Huyu propesa ni malaya wa kisiasa mwingine hana tofauti na mafisadi ndani ya ccm au fisadi lowassa na sumaye. Mtu alijiuzulu halafu anatumia nguvu ya dola kutaka kupora CUF!

Umalaya ni kuhama chama wapi prof amehama chama? Kama issue ni kujiuzuru wadhifa katika chama au serikali huo ni uwajibikaji na hata mzee mwinyi aliwahi kujiuzuru, siasa hamuiwezi kaeni pembeni mtakufa kwa vihoro bure kushabikia matapeli.
 
Kurudi kwa lowasa ccm kuna impact gani katika vyama vya ccm na upinzani?
 
Mkuu El alisafishwa na chadema kwamba ni mtu safo,kea hiyo sehemu ye yote atakayo kwenda anakwenda na utakatifu kutoka chadema.
Kea vile wamezoea kula matapishi,anzeni Tena kumtukana.
Oooh ndiyo maana serikali yote ilitoka kumpokea. Kweli Chadema ni wasafisha dhambi.
 
Acha kuandika pumba. Kama huna la maana la kuandika kaa kimya badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani. Matapeli kwanini hawakamatwi? Kuna mwizi nchi hii kama kubwa la majizi dhalimu na dikteta magufuli? Nyumba za Serikali hasara zaidi ya trillions 3, ufisadi wa kivuko 8 billions, kukwapua hazina 2.4 trillions. China huyo dikteta wangeshamtandika risasi miaka mingi kwa wizi na ufisadi wake.



Umalaya ni kuhama chama wapi prof amehama chama? Kama issue ni kujiuzuru wadhifa katika chama au serikali huo ni uwajibikaji na hata mzee mwinyi aliwahi kujiuzuru, siasa hamuiwezi kaeni pembeni mtakufa kwa vihoro bure kushabikia matapeli.
 
Binafsi kabla kuvamiwa clouds na polisi, sikuwa namjua Ruge ingawa jina lake nimewahi kulikia vaguely. Nilikuwa nadhani ni msanii/actress kama wema au wolper. Baada ya clouds kuvamiwa ndiyo nikajua kumbe huyo ruge ni dume.
 
Kwa Hiyo ulitaka walie
 
Barrick na Acacia are not stupid kumpa asiye na uwezo. Sio tender za serikali au CCM. Advantage aliyokuwa nayo ni kwamba yeye ni major supplier wa heavy machinery za mining.
Barrick haijawahi kutoa kandarasi ya uchimbaji kwa Caspian zaidi ya kandarasi ya kuchimba kibwawa cha plant pale bulyanhulu, supplier wa heavy machine wa barrick kwa pale bully ni sandvik, kwa buzwagi ni komats'u na north Mara ni atlas copco.
 
Ruge ni muhimu kwa watu wa mziki
Mkulima au mapori pori kama Hana umuhimu wowote
Juzi jna leo mme Gara Gara kwa kulia kesho tu mtasahau maisha yataendelea

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 

sasa kama Lowasa hatogombea chochote kuna haja gani kumsema? mtu anapogombea uongozi ndiye anayepigwa madongo
 
Woga tu,Lowassa aliogopwa na watu wengi,si sababu ya ufisadi bali msimamo wake usioyumba.
Ukianzia kwa Mwl.Nyerere akidai Lowassa ana mali nyingi,lakini hiyo sio sababu ya moyoni alitaka watanganyika waamini hivyo.Yeye alitaka Mkapa

Kikwete hakuwahi kujitokeza hadharani kumpa za uso Lowassa lakini alimchimbia kaburi huku akimtayarisha Membe.

Vivyo hivyo Chadema chini ya Dr Slaa walimshutumu Lowassa kama walivyokuwa wanaelekezwa na serikali ya CCM Bungeni.

Hata pale Lowassa alivyojiunga na Chadema walimkubali haraka haraka awe mgombea wa uraisi.
Kama alikuwa fisadi na bado wakamgangania ili awe mgombea uraisi kwa tiketi ya Chadema,basi chama hicho ni ndumila kuwili.
 
Lowassa anatosha kuwa mwanachama. Lowassa hatoshi kuwa rais. Hilo ndo swala, na limefanikiwa.
 
unajua kusifia ujinga na ushabiki hauna mbele wala nyuma, kwa barrick kununua wala si kitu kikubwa sana..kikubwa kwao ni maintenance na vipuri vya equipments ndiyo maana wananunua kwa manufacturer, KOMATSU siyo manufacturer???
 
Kwa hiyo mtoa mada una wasiwasi huenda ikatokea kama ile ishu ya Kafulila? Baada ya yeye kuunga mkono juhudi na kuukwaa u Ras wa Songwe, Kamanda Jesca Kishoa amekomaa mpaka kesho na kugoma kabisa kuunga mkono juhudi.
 
Waliposema CCM ina wenyewe bila wao itaanguka,na hiki ndio kimefanyika.
Lowassa karudi ili KULETA MSHIKAMANO NDANI YA CHAMA CHA CCM
Na kweli Kaskazini,Kusini pammoja na nyanda za juu kusini walishajitoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…