Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Sijui kwanini kurudi CCM Kwa Lowasa hakujaleta pilikapilika ... Yaani kimyaaaaa?
 
Barrick haijawahi kutoa kandarasi ya uchimbaji kwa Caspian zaidi ya kandarasi ya kuchimba kibwawa cha plant pale bulyanhulu, supplier wa heavy machine wa barrick kwa pale bully ni sandvik, kwa buzwagi ni komats'u na north Mara ni atlas copco.
Ninachoongelea ni supply ya heavy mining machinery
 
Ni kitendo cha aibu mno Lowassa kurudi ccm, inakuwa sawa na kutenda kosa kubwa na kwenda kujisalimisha mbele ya kadamnasi.
 
ni kweli njia nyeupe kuelekea ufipa ila ya kuelekea magogoni wanapita wateule na wapakwa mafuta tu
Jidanganye..mwezi wa nne Lissu kaalikwa kuhutubia Congress..2020 hakuna janjajanja
 
Hata hivyo Mh. amevumilia sana kwa ustaharabu alionao kuwa kundi moja na Sugu na Mdee inahitaji uvumilivu wa kiasi cha ziada, mwingine yuko kama dume lakini jike mwingine sura ya bangi bangi bora amejiondokea huko akapate amani ya moyo wake kwani hao niliowataja ni sample tu bado yule Mgonjwa wa dunia na kauli zake kanakwamba apigi mswaki, na Dj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Slaa alijivua siasa, ikitokea akazungumza ataongea kwa lugha ya kumvutia aliyemteua maana yeye na mgeni wote wamekuwa watu wake
 
Huyu mzee hivi ni kweli ametu-usalama taifa? sawa bana tutaona
 
Nimeona hii...​




Kwa mbali nikakumbuka hii 2011


Nikawakumbuka na hawa...


Kweli hujafa hujaumbika...​
 
Lowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe nyingi kutamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?

Wewe unaishi Dunia ya ngapi ambayo hufahamu kwamba Mbowe yuko rumande kwa miezi kadhaa sasa? eewh! tuambie nasi tujue
 
Anakwenda kusubiria kiama yake ili aje apate heshima na kuagwa na watu wengi mashuhuri siku akirudisha mafaili kwa mwenyenayo...
 
Sasa Lowassa amerudi CCM, chama cha muajiri wako. Tunaomba tamko lako Mh. balozi.


Sent using Jamii Forums mobile app


Hacha ukuda mkuu....ili swali ni la kinafiki sana mkuu....mm mwenyewe nilihama chadema sio kwamba Lowassa kaja chadema....ni kwa sababu chadema walituaminisha kwamba ni Fisadi kupitia ile slogan ya pambana na Ufisadi....Kaja chadema tunaambiwa katubu so akapewa tiketi ya kugombea Urais....leo hiii karudi Ccm eti nihame Tena narudi Chadema,utakuwa ni ukuda wa kufanya MTU ...same has Dr.Slaa haturudiiiiii na hana haja ya kutoa Tamkooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…