Kila la heri mzee Lowassa ni haki yako kikatiba japo umeumiza walio wengi waliojitoa kukusapoti wewe na kiukweli kama vijana tuliamini kuwa wewe ndiyo rais wa mioyo ya watanzania na hao uliowafuata walikutangazia hata kufa ndiyo hao waliokuchafua kwa madai umejinyea jukwaani ila vijana na makamanda wa kweli tulijitahidi kulipigania hili kulinda utu na heshima yako ila nachoamini Chadema itasimama na wale walioanzia ndani ya chama, nenda mzee Lowassa nenda kapige push up
Sitegemei kuona viongozi wangu wa chama cha demokrasia na maendeleo wakikusemea mbovu zaidi ya kukutakia heri huko ulikorudi ila tambua CHADEMA itaendelea kusimama na kuimarika kila leo
Wambie kesi ya uchochezi na uhaini wakufutie ila Mbowe na viongozi wote wa chama hawatakatishwa tamaa na kurudi kwako
"