Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Alisafishwa Mpaka tuhuma za Ufisadi hapa eti leo tunaambiwa hana IMPACT [emoji23] [emoji23][emoji23]
 
Kazi ameshamaliza!! Kuna mwingine bado yuko huko anakamilisha kazi...!!
Naona mmeanza kuyala matapishi yenu na inawabidi mkampigie magoti na mtubu kwa matusi mliyo kuwa mnamtukana

In God we Trust
 
patamu sana hapo, ila bora tu afadhari kasepa sasa doctor Slaa huko aliko sijui anajisikiaje
Kwani doctor Slaa hujui kuwa Alikuwa CCM kabla kuja chadema na baadaye akarudi tena CCM.Chadema mlimchukua kwa muda tu.Mliacha kuhangaika na wa kwenu mkawa mnabeba wa CCM imekula kwenu.Kwenye mpira timu ikiwa mazoezi hujigawa mara mbili Moja timu pinzani wanacheza ukiwaona unafikiri timu mbili kumbe timu moja imejigawa.Wafadhili na wa nje walitaka Upinzani ndio huo bila shaka wameona.Afrika watukome waachie politics zichukue mkondo wake wamjue tu how to survive with elected governments kama China lakini kujitia they know too much of African politics they are wrong.Current generation are learned sio kama wa enzi za akina Patrice Lumumba au akina Mobutu seseko . Poleni wote mlioshinda juani kukesha vituo vya kura na mliotandikwa virungu na polisi,mliopoteza kazi nk mtajijua ndio mkome shenzi nyie kujiingiza siasa kichwa kichwa
 
Karibu sana Komredi Lowassa, wengi hawatakuelewa ila Mimi nakupongeza, tunahitaji kusimama kama Taifa na kuunganisha nguvu zetu kwaajili ya maendeleo ya Taifa. Nafahamu umekuwa imara na mzalendo kwa Taifa lako kwa kukataa kutumika vibaya kwa maslahi ya mabeberu. Big up, karibu nyumbani kumenoga
 
Jamaa aliifuata sabuni Chadema kashaoga saaafi anarudi kulala nyumbani mstaafu wa watu hakuna kelele. Zero rudi tuu na wewe hakuna jipya huko.
 
Wacha arudi zake hana impact yoyote Chadema hapa ni kama mtu wa shina wa chini kabisa kaamua kurudi CCM haina madhara kabisa mzee wa watu kavurugika mwacheni moja wala mbili haikai
 
1551455833032.png
 
Itakuwa faida kwa upinzani 100%....

Nilishapiga kelele sana hapa kuhusu Lowassa na Sumaye....

Hawa ni watu walioshiriki kila aina ya ufisadi ndani ya ccm .

Angalia sasa tamaa ya mbowe sijui na Dr slaa uso wake atauweka wapi?....

Niwakati wa Lissu kapewa chama na kumshawishi Bi Fatuma karume wagombee 2020 tuchukue nchi mapema...

Fukuzeni na Sumaye kwenye chama ungana na Zitto awe waziri mkuu baada ya uchaguzi hapo tutawapigania kwa hali na mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kirahisi mpaka nimetamani iwe kweli siku moja.....ila kwa ujinga wetu wakuwa bendera fwata upepo kwa wanasiasa wetu.....naona bado hii ni ndoto tu
 
Natarajia Vijana wa Uvccm kuitisha press na kusema yafuatayo
1: Lowassa sio mgonjwa tena
2: sio jizi
3: sio muhujumu uchumi
Lakini pia natarajia
1: Dr. Slaa kujiudhuru ubalozi
2: prof. Lipumba na Maalim seif kuanza kushirikiana
Na hatimae pia
1: imani ya chadema kwa Sumaye kushuka
Mwisho kabisa
1: Lissu kugombea urais 2020


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli nikwamba ccm wameamua kurejesha makundi ndani ya chama
Yani ulipo tupo,
Kazi na bata,
Ccm mpya,

Lile kundi ndogo lililo kajiunga na ccm mpya kiunafki na wale walio kawa banch wataibuka kwa nguvu zote.
Teem ya majani mapana imesajiri usajili kama wa ngasa kwa yanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amerudi kwa aibu kubwa akijificha nyuma ya ruge hata mtu mmoja asijue afadhali CDM sasa.
 
Upo sahihi kabisa mkuu maneno yako yana ukweli 100%
Tunajua mali za Rostam ni za Lowassa hivyo wanarudi ccm kuitafuna tena.
Na majuzi Rostam amewapa channel 10 safari ya ikulu imezaa haya

In God we Trust
 
Back
Top Bottom