Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuuNa amejua siri zao. Kiungwana wasimtukane wakae kimya wajenge chama chao.
chif cjasema kuingia cdm nimesema mchakato wa kupata nafasi ya kugombea urais kupitia ukawaKwahiyo wewe una amini Lowassa alitoa hela kuingia CHADEMA?
Really?
Kiasi gani labda?
Mkuu mimi nililaani sana humu JF nikamlaumu Mbowe kwa kuwezesha au kukubali ujio wa Lowassa CHADEMA.Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Hahahaaaaaaaaa hana impactHANA IMPACT ARUDI TU ANA ISSUE
Dr slaa ndo alikua hot kwa kipindi kile ni kama sasa ilivyo kua juu tundu lisu,,,,,
ed low akapenyeza rupia,, eti mara akawa mgombea urais wa ukawa,,,,
Ukawa ikaanza kufa kuanzia hapo,,,,
Siasa uchwara,, propaganda uzushi na uwongo zikaanza,,,,
Alafu ndo kama kuna mtu alikufa au ali alijeruhiwa kwa ajili ya lowasa basi imekula kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
itakuwa kashapona Tutajua vp [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwani ule ugonjwa waliomuimbia kapona? Mbona wamempokea kwa kishindo?
Acheni uongo jamani,Mzee wa watu hana ubaya na mtu.