Ali'jinyea' au haku'jinyea' kule Chato? Mlimtukana sana baba watu nyie ccm!Chadema walishamtakasa lowassa hadi list of shame waliifuta ....CCM wamemrejesha baada ya utakaso.
Huu ni mwezi wa kwaresma
Kwa kweli niseme asante Mh. Lowasa. Leo umefanya la maana sana, umerahisishia kwa kiasi kikubwa wapinzani kufanya maamuzi sahihi!Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Not this time...
Tulimtukana ndio kwa muktadha wa kipindi kile...nyie mlikanusha kwa hiyo na mimi nakanusha ha ha haAli'jinyea' au haku'jinyea' kule Chato? Mlimtukana sana baba watu nyie ccm!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaitwa no kununa no kuchekaWimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
Sasa mbowe akijitoa tu chadema hata uenyekiti tu basi chama hakuna kwa akili za akina lissu,mdee,angalau mnyika na lema kidogo wanaweza wakakiendesha chama ila hao wengine harahara/malolota sana.
Mbowe and hekima despite michezo yake michafu kama walivyo wale wa CCM tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela imeondoka.Akina Lisu hawana hela ya kuendesha chama mwenye pesa kaondoka Akina Lisu hela ya kula,kulala ,mavazi na ada za watoto hana uwezo wa kugharimia chadema hanaAcha woga, itakua ni faida zaidi kwa CDM kuondoka kwa huyo mamvi hata ile nguvu yake ya ushawishi ishakata moto...
Yote ni dhana!Yanazungumzwa mengi kuhusu kuhama kwa Lowassa na kurudi CCM. Mimi nimelitazama katika angle tofauti.
Hii Sasa sii Vita ya CCM na upinzani, la hasha! Mzee mzima kaelemewa huko ndani ya Nyumba Yake. Hali sii Hali, hususani kuwepo kwa harufu ya wenye Chama halisi dhidi ya huyu Mzee. Zipo taarifa za watu kujipanga ndani ya Chama ili kufanya yao 2020. Ni kwa muktadha huu Magufuli ameamua kuwarudisha katika timu the Kings makers EL na RA. Hii Ni kujiandaa na mashambulizi kutoka kwa Mzee Membe ambae ukimya wake katika mikakati kumewavuruga Gweregwere. Kwa Hali ilivyo, Magufuli Yuko tayari kuunga nguvu na yoyote Yule ilimradi pawepo na uwezekano wa yeye kushinda ndani ya Chama 2020.
Team Mangula (Mzee wa mafaili) na Wote mliojitoa ufahamu 2015, mliemchukia KARUDI. MEMBE KAA STANDBY. USIMSAHAU DOGO LAKO NAPE. KARMA lazima iwatembelee 2020!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisy kusema ukweli siasa sio mchafu ila Tanzania ni nchi yenye wajinga kupita kiwango na itachukua muda mrefu sana maana watu wapo kishabiki zaidi badala ya kiuhalisiaWimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
Haswaa.