Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Tunalo tatizo la ubora wa wanasiasa wetu. CCM imefanikiwa kuwa makini kwa woga wa kunyang'anywa madaraka. Tatizo la upinzani wameshindwa kukubali ubovu wao. Maandalizi ya uchaguzi kwa miaka mitano mwezi wa mwisho unachota mugombea toka nje ya chama. Ni upuuzi.

CHADEMA wanaambiwa badilisheni uongozi wao wanaamini kabila lao linaondolewa. Kweli muongoze chama kikabila na wengine wakiwapa support? Mbowe alianzisha chama, je, ni lazima akione ni cha kwake? Kweli anategemea Nchi hii ya miaka karibu 60, itawaliwe na former DJ? Former casino operator? KIla ubongo una kazi unayoiweza! Let CHADEMA collapse!
 
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.

Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.

Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k



View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448

Unaweza soma pia:

Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums

Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums

Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums

Kwa kweli niseme asante Mh. Lowasa. Leo umefanya la maana sana, umerahisishia kwa kiasi kikubwa wapinzani kufanya maamuzi sahihi!
 
Nao walijiasahau sana yaani hakuna filtration kabisa mtu day one tu akaenda mpaka master bed room
 
Ningewaamini Chadema sana kama wangekua na safu yao ya ulinzi iliyo PURE sio mambo ya kusajili kutoka kwa majirani tena wangejiekea mgeni yyte anaekuja hata ujumbe hapewi abaki kama machinga tu mwanachama.

Ila tabia yao ya kuchukua watu toka kwa majirani na kuwasafisha wawe wao HUKO NI KUJIDANGANYA wao kama wanaitaka nchi kweli Waondoe wanachama MACHOTARA wote wabaki na watu kuanzia Nje mpk ndani ni chadema Mtupu,yani wabaki na watu ukimkata damu inatoka na maandishi ya CHADEMA.

Kinachowafelisha Chadema wana wanachama hawazidi hata wa 5 ambao ni kufa kupona CHADEMA waliobaki wote MICHOTARA nnje chadema ukiikata damu ndani ni vitu vya ajabu,halafu mnategemea kupata Nchi labda nchi ya jehanamu..
 
Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.

Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?

Siasa ni mchezo mbaya sana.
Inaitwa no kununa no kucheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu Mimi niko nawaza tu kwamba itakuwaje mzee mbowe akipata taarifa za mzee lowassa kurudi ccm.

Mzee mbowe ndie alikuwa wa kwanza kumkaribisha mzee lowassa cdm tena kwa shangwe na vigere gere.

Sasa hivi mzee wetu mbowe yuko gerezani na sijajua kama huko gerezani huwa wanapewa nafasi ya angalau kusikiliza redio / kuangalia TV.

Sasa hapa nilipo namuhurumia sana mzee mbowe pindi atakapotoka gerezani na kukuta mgeni wake katoroka nyumbani bila hata ya kuaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JIWE pumzi imemkata kaona amuombe Lowasa arejee chamani

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Tatizo akili zako zipo kwapani
Sasa mbowe akijitoa tu chadema hata uenyekiti tu basi chama hakuna kwa akili za akina lissu,mdee,angalau mnyika na lema kidogo wanaweza wakakiendesha chama ila hao wengine harahara/malolota sana.

Mbowe and hekima despite michezo yake michafu kama walivyo wale wa CCM tu

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Acha woga, itakua ni faida zaidi kwa CDM kuondoka kwa huyo mamvi hata ile nguvu yake ya ushawishi ishakata moto...
Hela imeondoka.Akina Lisu hawana hela ya kuendesha chama mwenye pesa kaondoka Akina Lisu hela ya kula,kulala ,mavazi na ada za watoto hana uwezo wa kugharimia chadema hana
 
Mzee keshakula mzoga.
masoudkipanya-20190301-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • masoudkipanya-20190301-0001.jpeg
    masoudkipanya-20190301-0001.jpeg
    25 KB · Views: 19
Yanazungumzwa mengi kuhusu kuhama kwa Lowassa na kurudi CCM. Mimi nimelitazama katika angle tofauti.
Hii Sasa sii Vita ya CCM na upinzani, la hasha! Mzee mzima kaelemewa huko ndani ya Nyumba Yake. Hali sii Hali, hususani kuwepo kwa harufu ya wenye Chama halisi dhidi ya huyu Mzee. Zipo taarifa za watu kujipanga ndani ya Chama ili kufanya yao 2020. Ni kwa muktadha huu Magufuli ameamua kuwarudisha katika timu the Kings makers EL na RA. Hii Ni kujiandaa na mashambulizi kutoka kwa Mzee Membe ambae ukimya wake katika mikakati kumewavuruga Gweregwere. Kwa Hali ilivyo, Magufuli Yuko tayari kuunga nguvu na yoyote Yule ilimradi pawepo na uwezekano wa yeye kushinda ndani ya Chama 2020.
Team Mangula (Mzee wa mafaili) na Wote mliojitoa ufahamu 2015, mliemchukia KARUDI. MEMBE KAA STANDBY. USIMSAHAU DOGO LAKO NAPE. KARMA lazima iwatembelee 2020!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yote ni dhana!
 
Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.

Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?

Siasa ni mchezo mbaya sana.
Sisy kusema ukweli siasa sio mchafu ila Tanzania ni nchi yenye wajinga kupita kiwango na itachukua muda mrefu sana maana watu wapo kishabiki zaidi badala ya kiuhalisia
 
Back
Top Bottom