Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

840295B2-016B-4411-9F10-8AE945224EB4.jpeg
 
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.

Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
View attachment 1035375View attachment 1035381
What a timing! Kwenye msiba wa Ruge. Kila la heri msaka fursa ya uraisi. Ila cdm mmetia aibu katika hili. Nafasi kubwa kama ya uraisi mnampa mamluki agombee?
 
Back
Top Bottom