Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini usianzishe chama chako?Aisee tuliokuwa na Msimamo na kutaka mabadililo ya kweli tulipinga Lowassa kuja CHADEMA since day one. Sasa Mbowe achia chama kwa damu ya Mageuzi halisi iongoze Chama
Yes, i see opportunity!!
Kwa nini usianzishe chama chako?
JPM aongezewe Muda wa kutawala hadi watakapopatikana wapinzani nchini.
Mkuu Siasa ndiyo zilivyo cha muhimu ni kumtakia Kila la kheri kwake
What a timing! Kwenye msiba wa Ruge. Kila la heri msaka fursa ya uraisi. Ila cdm mmetia aibu katika hili. Nafasi kubwa kama ya uraisi mnampa mamluki agombee?Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
View attachment 1035375View attachment 1035381