Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Sasa huu ndio mwanzo wa mwisho wa upinzani na ikiwezekana Chadema...

Kwa kiasi fulani huyu mzee alikuwa anasaidia upinzani kutochezewa rafu za hapa na pale kutokana na influence yake...
 
Fisadi mwingine huyo yeye na Sumaye yalikuwa makosa makubwa sana kuwakaribisha Chadema mafisadi hawa wawili. Hawana impact yoyote ile ndani ya Chadema.
Niliwasema hawa watu baadhi ya wafuasi wasiojua siasa wakanitukana lakini ukweli ni kwamba Lowassa na Sumaye hawajawai kuwa wapinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fisadi mwingine huyo yeye na Sumaye yalikuwa makosa makubwa sana kuwakaribisha Chadema mafisadi hawa wawili. Hawana impact yoyote ile ndani ya Chadema.
Mlipokuwa mnasema "Ulipo tupo"?? Upinzani wa kweli Tanzania hakuna!! Sasa wanahangaika na Membe 2020 haya chukueni na huyo Membe. Vipi Salary Slip Lowassa karudi kundini vipi wewe unamfuata Lowassa? Wewe si mfuata upepo tu!
 
1551452363460.png
 
Sasa huu ndio mwanzo wa mwisho wa upinzani na ikiwezekana Chadema...

Kwa kiasi fulani huyu mzee alikuwa anasaidia upinzani kutochezewa rafu za hapa na pale kutokana na influence yake...
Ujui ulisemalo wewe CHADEMA ni zaidi ya uijuavyo!

Ccm siku mkiacha kutumia vyombo vya sheria na polisi ndio siku mtaijua nguvu ya CHADEMA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
With all the due respect. ..
I say go man..go..Unanusuru mali zako na kwa watoto wako....
Maana awamu hii wenzio "wanashughulikiwa" vilivyo
 
Kama Ni kweli nafungua champeign muda huuhuu! Niliwahi kusema na Ninarudia Kusema, Lowassa akirudi CCM itakuwa shangwe kwangu. Ila kaondoka muda mbaya kwa CCM, it gives us more time to re strategize. Kweli mmechanganyikiwa Hadi kuamua kujifurahisha na Lowassa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom