Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Amekosea sana,angesubiri mpaka 2020 kuelekea uchaguzi awavuruge kwanza ndo asepe.Chickens coming home to roost never did make me sad,
 
Ama kweli mzee kabanwa kila sehemu,mme wa mwanae leo mwaka wa ngapi sijui yupo Lumande. But why wanatangaza ndani ya kipindi cha msiba wa Taifa?

Ili kelele zisiwe nyingi...
 
1551452596155.png
 
Back
Top Bottom