PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Fi+adi papa amerudi nyumbani tuone akina SLAA watamkimbia au la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli mzee kabanwa kila sehemu,mme wa mwanae leo mwaka wa ngapi sijui yupo Lumande. But why wanatangaza ndani ya kipindi cha msiba wa Taifa?
Safiiii, na akwende ufisadini alikotokeaWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
View attachment 1035375View attachment 1035381
Leo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.
Ujui ulisemalo wewe CHADEMA ni zaidi ya uijuavyo!
Ccm siku mkiacha kutumia vyombo vya sheria na polisi ndio siku mtaijua nguvu ya CHADEMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameniudhi sana. Maana hii ya Lowasa ndo ingekuwa big newz. Sasa watu wapo na kumpokea marehemu Ruge.Ili kelele zisiwe nyingi...