Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Ikiwa taarifa za kifo cha huyu ndugu yetu Ruge zimesambaa kila kona, basi taarifa za huyu babu yetu Lowasa
-zimesambaa
-zimefika kote kila kona
-kila mtu anahitaji kuzijua na kuzifahamu kwa undani. si kijijini wala mjini!
Siyo jijini wala shambani, kote wanauliza "Lowasa kafanya nini?"
Mods hii ni "thread jitegemea" tafadhali isiunganishwe wala kupelekwa kokote.
Uzi tayari
 
Ilo lipo wazi ila Lowassa ameshapoteza ushawishi ndani ya ccm na ata nje yupo yupo tu hana jipya..


Kama aliweza kukatwa yeye sembuse Magufuli?

Hii ni faida kwa upinzani 100%.



Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Faida Sana kwa upinzani. Ila Mzee baba kavurugwa, Koroshow haimuachi salama! Dollar na Shillingi ndio kabisaa. Sasa Lowassa na Rostam wanakumbukwa kwa michezo yao kuelekea 2005, Mzee kaona labda watamsaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Naona unaamua kujificha kwa Dr. slaa kama kifuta aibu cha EL kwenda tena CCM

slaa aliishakubali kuwa CCM pamoja na mabaya yote ya CCM ambayo aliyahubiri

kuna mafisadi wengi zaidi CCM na alienda huko kwa sababu ALIKUWA MGOMBEA HALALI WA AWALI WA CDM kabla ya kubadili ile gia. Slaa angekaa na Lowassa CDM kama angegombea yeye

swali lako ni irrelavant

uliza CDM bila EL, uliza impact ya lissu ughaibuni. sio kuuliza maswali ya kitoto
 
Ni salama zaidi kwake kuwa CCM Kwa Sasa.Ameshasoma kuwa CCM ni ukoo wa Panya hakuna CCM ya zamani Wala mpya CCM ni ile ile karudi kula pensheni yake Kwa amani Bila bughudha na kuendelea na biashara zake pamoja na akina Rostam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah yaani siasa za nchi hii aki vile kama kuna muda una stress unaweza cheka hata pekeako,.

Naona walimu wamekumbukwa ili wakasaidie kampeni,.baada ya hapo watarudi kuwakagua vyeti feki ili wawapunguze tena...only in Tanzania,.
Yaani ni shida only in Tanzania kweli...
Punde Rostam Aziz atanunua korosho mbovu za wana mtwara wakisema serikali imepata soko la korosho mbovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa na Dr Slaa wote ni kama wameshastaafu kwenye harakati za siasa. Hawagombei tena uongozi wowote kwa hiyo hakuna mkwaruzano wowote.
 
Bibi nakuona ukitema madini hapa, naomba nikuulize ni lini Lowassa alihama CCM?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alijisema Zitto Junior tusome kitabu cha 48 LAWS OF POWER ukikisoma ukakielewa hivi vitu havitakuumiza akili kabisa. Hata huyo anae pepeta mdomo wake UGHAIBUNI hana jipya. Mabadiliko yanaanzia katika ubongo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🙏🗣Yani nimefurahi hadi basi.Iko hivi:

"Wakati Rais magufuri akijinasibu kupambana na ufisadi alituhumu CHADEMA kupokea fisadi na akasema mafisadi yanakimbia ccm yanaenda upinzani" Badae pale UDSM akamuagiza apeleke ujumbe chadema kwamba wambie wenzako wasipofuata Sheria wataishia jela😆"

Sasa nimefurahi sababu fisadi waliesema amekimbilia chadema karudi nyumbani kwao alikolelewa na kufundishwa lakini mwisho amekimbia jela😂😂This side is 4 men ,boys will run away.
Kifupi mzee malengo hayajatimia na mbele kaona giza kwa siasa za Sasa ziwahitaji akina Lisu,Zitto,Heche,Sugu,Mbowe,Mdee, na wengine waliojikana kutetetea haki hata ukiwawekea pisto kichwani tumtakie heri mzee Lowasa ni wakati wa Ccm kufuta matusi na kejeli walizotoa dhidi ya Lowasa 😜😜mana Mwali ndo kesharudi ndani kwao Kwahiyo ile harufu mlioishikia pua Sasa ni kuachia pua imegeuka kua nzuri.

Kifupi Lowasa amewini game nani wa kumvika kengere🤣🤣🤣🙏


Siame GK.
 
1.Kabla ya mwezi huu kuisha Mkwewe na Lowasa Sioi sumari kufutiwa kesi ya mara moja kwani muendesha mashitaka hatakuwa na nia ya kuendelea na kesi.

2.Rostam Kurudi kuwa active kwenye mikataba ya kibiashara

3.Lowassa kuteuliwa kama sio ubalozi basi ukuu wa bodi nyeti hususan Korosho .

4.Bashite ni moja ya watu ambao hii ni bad news kwake,atawaonesha kipaji chake cha kipekee hapa mtarajie kuanza kumuita lowassa baba yake.

Je wewe unayepi ?
 
Dah! Inawekana ni Kweli humo ndani kunafuka moshi! Kama jiwe atawatumia hawa ajue kajikaanga kwa mafuta yake, yatarudi tena yale ya jk.
 

Mbona hapo Hamna Jipya Mkuu!!

Kablaya ya 2015 Chadema walisema:

• LOWASA JIZI
• LOWASA FISADI


2015 Lowasa baada ya Kujiunga Chadema;

• LOWASA SIO MWIZI
• LOWASA SIO FISADI
• LOWASA KASINGIZIWA
• LOWASA NDIYE RAISI
• CHAGUA LOWASA


Kwahiyo watakachosema CCM kuhusu Lowassa musiwalaumu kwani hata Chadema Walisema na Kumsifia Kwa Kumvua Ufisadi.

Musiwe wepesi wa Kusahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…