Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Sasa mzee mkapa atakua na cha kuongea tena?
 
Mabadiliko haya ni kumnusuru mkwewe Lowasa -SIOI SUMARI , unbailable offence of money laundering, mtu akikuahidi kuwa nitafuta kesi, if it were you, what will be your option!?
Hopeless thread!!
 
Lowasa ni fisadi.
 


Mzee kwa kucheza bembea anaweza sana, ikiwezekana sasa ziwekwe kamba za waya badala ya manila

Na wakati wa uhamisho havai kama wale wanaompokea, ni kama vile anatega mitego
 
Mimi bado naisubiri siku idadi kubwa ya Watanzania itakuwa ni watu wenye upeo wa kutafuta mifumo thabiti inayohakikisha uongozi wa maana nchini zaidi ya kuishia kufikiria kukabidhi matumaini yote kwa binadamu fulani fulani na kuishia kuwaabudu. Yaani tufikie upeo kama uliopo Marekani ambapo mfumo unampa raisi madaraka na nguvu zote za kuwa kiongozi wa taifa kubwa duniani lakini unamuondolea "kitu kujisahau" na kujifikiria mungu.

Leo Watanzania na shule zetu tunahangaika na Magufuli, Lissu, Slaa, Membe, Nchemba, n.k. Tunatafuta masiha ambaye tutamkabidhi madaraka yote kisha tumuachie atumie utashi wake kuamua chochote kutuhusu! Halafu jamaa akiamuru jeshi likabangue korosho au akitoa ndege kuzika "mswahili" nyuzi zinaanzishwa kwa fujo JF kama vile hatukuhusika na maauzi ya aina hiyo! How minimal Tz politics have become, sad! Anyway, let me continue living the dream. At times, it really feels good heading the opposite direction of the crowd.
 

Balanced..
Hiyo chorus itakuwa mfu.
 
We unadhani ukitokea uhaba mkubwa wa CONDOMS tz Rais ataacha kutafuta mbinu ya kuwaokoa wa kwao huko CHATO...

Cha kwanza katika siasa ni
1.Maslahi
2.Maslahi
3.Sifa
4.Historia
5.Maendeleo ya watu yenye maslahi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutafika tuu kule tunapotaka kwenda kwa miondoko yote ya hapa duniani chadema songambele hata kwa jasho na maumivu makali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…