Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Hahahahha maza fanta"Yaani ni shida only in Tanzania kweli...
Punde Rostam Aziz atanunua korosho mbovu za wana mtwara wakisema serikali imepata soko la korosho mbovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mie nishaagiza libapa nalibonyeza kwa furaha, tunaitaka ile CDM yetu imara isiyoyumba... Tukitimua na yule katibu mamluki mambo yatakaa sawa ile nafasi apewe Mh Mnyika.
Yaani mitazamo yenu kulinganisha na uhalisia inatia huruma.Njia nyeupe kwa Lissu 2020 na sio kwa magufuri .Mungu ni mwema Jamani nafasi hiyo wazi kwa Lissu ,Mungu ampe nini?
Lisu hela hana ya Kula,mavazi,malazi na ada za watoto anaomba omba hiyo hela ya kugombea uraisi atatoa wapi?Ametusaidia kuondoa mgogoro tuliotegemea kati yake na Lissu kungombea urais.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hopeless thread!!Mabadiliko haya ni kumnusuru mkwewe Lowasa -SIOI SUMARI , unbailable offence of money laundering, mtu akikuahidi kuwa nitafuta kesi, if it were you, what will be your option!?
Lowasa ni fisadi.Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
boss ndo natype habari iyo content nimepost kwanzasi sawa kulazimisha watu wa view tovuti yako kisanii hivyo
Tutafika tuu kule tunapotaka kwenda kwa miondoko yote ya hapa duniani chadema songambele hata kwa jasho na maumivu makaliKama ilivyo kawaida, endapo atajitokezza kiumbe kumkashfu au KUMSEMA vibaya Lowasa Basi ajiandae kupambana na jeshi la polisi.
Awali maneno yake yalikuwa ya uchochezi ila leo Mhe. Dingilai kasema amefutiwa dhambi zake na amekuwa mpya.
Usimtamkie mabaya mzee wetu, Msukuma yule jamaa yako uliyemtusi amerudi kwao Sasa jiandae kumfanya rafiki ukigoma acha chama.
Nape mzee karudi so jiandae kumsujudia,
Makonda jiandae kumsalimia kwa heshima mzee baba la sivyo utapoteza ukuu wa mkoa.
Ridhiwan baba karudi, ulimkejeli Sasa amerejea jamvini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha sipati picha aiseeee,hapa ndio tutajua chuki yake ilikuwa ni Kugombea Urais tuu na sio ufisadi wa LowasaDr Slaa itabidi arudi CHADEMA sasa,maana "Fisadi" amerudi kwenye zizi lake
hopeless kama mm yakoHopeless thread!!
Kweli wahenga walisema, 'Sizitaki mbichi hizi'!HANA IMPACT ARUDI TU HANA ISSUE