Duuuuhh, kweli? Au jibu lako linaendana na wakatiMaendeleo hayana chama..Piga kazi tujenge nchi!!!
Kujiunga ccm lazima atangaze?Hivi Dr Slaa yupo CCM ma serikalini, Lini Dr Slaa alijiunga na CCM.
Balozi Wa Sweden sijui atasemajeKwa kweli ametupatia mtihani mgumu ambao tutafaulu kufeli, maana hatujui tufanye Nini na tuwaambie Nini wale tulionena maneno haya mbele yao.
Eeeee Mungu turuhumie, sisi ni wanasiasa
Chadema na CCM watabadilishana chorus, simple na maisha yanaendelea.Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
Si Mimi tu mkuu labda wewe siyo mfuatiliaji wa siasa za Tanzania
Makamanda wengi watabadili ID zao hapa. Chadema kwisha kazi yenu.
Siyo huyo tu ndugu yangu, wengi tunaumiza vichwa hapa
Mlishamtakasa sisi tumemchukua mtakaswa