Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Pongezi kwa watanzania weledi ...!
Slogan ya Magufuli ilikuwa ni hapakazi tu na Slogan ya lowassa ilikuwa mabadiliko.

Leo hii ni muungano mtakatifu kwa ajili ya maendeleo.

Wafuasi wa Team zote mbili tutaombana radhi na sasa tujikite katika kuijenga Tanzania ya Kazi na yenye kubadilika.

Karibu tena Mheshimiwa lowassa.
 
Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.

Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?

Siasa ni mchezo mbaya sana.
Chadema na CCM watabadilishana chorus, simple na maisha yanaendelea.

Halafu wewe si ulituambia ana ugonjwa wa kujinyea, nafikiri kuanzia leo atapona hahaa.
 
Anarudi ili iweje? Hili ndilo swali ambalo ningependa kujua jibu lake!.
Hivi Dr Mihogo naye anaweza kuamua kurudi na akapokelewa kwa shangwe?
 
Back
Top Bottom