Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Wameniudhi sana. Maana hii ya Lowasa ndo ingekuwa big newz. Sasa watu wapo na kumpokea marehemu Ruge.
Hata hivyo ushawishi wake kisiasa kwa kiasi fulani ulishakwisha lililobaki ni jina tu...

Kubaki CDM na kurudi CCM kwake hakuna anachopoteza...
 
leo sio oil chafu!?
 
Yeye na Sumaye wote Maboya tu na maji siku zote hufuata mkondo, hivyo fisadi moja limerudi nyumbani kwa mafisadi wenzie.
Fisadi lililogombea urais Chadema hadi Chadema ikafuta list of shame! Brother tuliza akili kidogo otherwise uwe unapata ugali Chadema! Kuna tatizo hapo na inabidi kulitatua kupitia ukweli tu! Tusipingane tu bila dira!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa ndio kajimezesha kwa Ruge ili watu wasijadili kurejea kwake CCM.

Kwa matukio ya kesho pale Karimjee Lowassa ndio atasahaulika kabisa na atakia kwenye midomo ya makamanda wa Ufipa tu!
Huko msibani story itakuwa Lowasa tu
Tofauti na ambapo angefanya bila kuwa na tukio la kukutanisha watu
 
Mbona mnaota ndoto za mchana? Ni nani CCM mwenye ubavu wa kusema au kufanya lolote kwa Mwenyekiti na Rais wa nchi! Lowassa na kujiandaa kote, na fedha zote na kila aina ya mikakati aliyotumia mwaka 2015 na akawekwa pembeni ije kuwa rais na mwenyekiti?
 
Marekebisho kidogo, wimbo haukuanza kwa Chadema. Chadema waliitikia tu...wimbo ulianza kwa Kamati ya Mwakyembe ili kumlinda fisadi mkuu wa Richmond Jakaya Kikwete.
Magoli yetu yana zege hayabadiliki.
 
Siasa ni ngumu kuliko physics

Lowassa aliyeitwa fisadi na CDM baadaye na CCM hatimaye anakuwa msafi. Hakuna atakayemwita tena fisadi.

Kaipigana vita ya ufisadi na ameishinda!
 
Hapo mwanzo sikuamini kuwa Lowassa ni mgonjwa[emoji848] leo nimepata jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…