Hata hivyo ushawishi wake kisiasa kwa kiasi fulani ulishakwisha lililobaki ni jina tu...Wameniudhi sana. Maana hii ya Lowasa ndo ingekuwa big newz. Sasa watu wapo na kumpokea marehemu Ruge.
leo sio oil chafu!?Pongezi kwa watanzania weledi ...!
Slogan ya Magufuli ilikuwa ni hapakazi tu na Slogan ya lowassa ilikuwa mabadiliko.
Leo hii ni muungano mtakatifu kwa ajili ya maendeleo.
Wafuasi wa Team zote mbili tutaombana radhi na sasa tujikite katika kuijenga Tanzania ya Kazi na yenye kubadilika.
Karibu tena Mheshimiwa lowassa.
Fisadi lililogombea urais Chadema hadi Chadema ikafuta list of shame! Brother tuliza akili kidogo otherwise uwe unapata ugali Chadema! Kuna tatizo hapo na inabidi kulitatua kupitia ukweli tu! Tusipingane tu bila dira!Yeye na Sumaye wote Maboya tu na maji siku zote hufuata mkondo, hivyo fisadi moja limerudi nyumbani kwa mafisadi wenzie.
Huko msibani story itakuwa Lowasa tuLowassa ndio kajimezesha kwa Ruge ili watu wasijadili kurejea kwake CCM.
Kwa matukio ya kesho pale Karimjee Lowassa ndio atasahaulika kabisa na atakia kwenye midomo ya makamanda wa Ufipa tu!
Mbona mnaota ndoto za mchana? Ni nani CCM mwenye ubavu wa kusema au kufanya lolote kwa Mwenyekiti na Rais wa nchi! Lowassa na kujiandaa kote, na fedha zote na kila aina ya mikakati aliyotumia mwaka 2015 na akawekwa pembeni ije kuwa rais na mwenyekiti?Yanazungumzwa mengi kuhusu kuhama kwa Lowassa na kurudi CCM. Mimi nimelitazama katika angle tofauti.
Hii Sasa sii Vita ya CCM na upinzani, la hasha! Mzee mzima kaelemewa huko ndani ya Nyumba Yake. Hali sii Hali, hususani kuwepo kwa harufu ya wenye Chama halisi dhidi ya huyu Mzee. Zipo taarifa za watu kujipanga ndani ya Chama ili kufanya yao 2020. Ni kwa muktadha huu Magufuli ameamua kuwarudisha katika timu the Kings makers EL na RA. Hii Ni kujiandaa na mashambulizi kutoka kwa Mzee Membe ambae ukimya wake katika mikakati kumewavuruga Gweregwere. Kwa Hali ilivyo, Magufuli Yuko tayari kuunga nguvu na yoyote Yule ilimradi pawepo na uwezekano wa yeye kushinda ndani ya Chama 2020.
Team Mangula (Mzee wa mafaili) na Wote mliojitoa ufahamu 2015, mliemchukia KARUDI. MEMBE KAA STANDBY. USIMSAHAU DOGO LAKO NAPE. KARMA lazima iwatembelee 2020!
Sent using Jamii Forums mobile app
Magoli yetu yana zege hayabadiliki.Marekebisho kidogo, wimbo haukuanza kwa Chadema. Chadema waliitikia tu...wimbo ulianza kwa Kamati ya Mwakyembe ili kumlinda fisadi mkuu wa Richmond Jakaya Kikwete.
KabisaLowassa ndio kajimezesha kwa Ruge ili watu wasijadili kurejea kwake CCM.
Kwa matukio ya kesho pale Karimjee Lowassa ndio atasahaulika kabisa na atakia kwenye midomo ya makamanda wa Ufipa tu!
Hahaha upuuzi mtupu,.huoni hata aibu kusema hivyo??yaani kabisaaa unajisifia ujinga???chaaa!!!Ushindi ushindi hata wa goli la mkono Refa akipuliza Filimbi mechi ikishaisha ndo imetoka hiyooo...
Umenichekesha sanaaa mkuu...Chadema walishamtakasa lowassa hadi list of shame waliifuta ....CCM wamemrejesha baada ya utakaso.
Huu ni mwezi wa kwaresma
Anarejea kwani amewahi kuwa mwanà CCM ?!.Makamanda jiandaeni kisaikolojia hakuna lisilowezekana chini ya jua.
Maendeleo hayana vyama!
Siasa ni ngumu kuliko physicsWimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.
😎😎vipi hivyo??Mrembo kwanini unajichosha na siasa? Njoo tufanye vitu vingine...