Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Kagoda, Richmond nyingine inanukia ooh nimesahau kampuni ya korosho toka kenya
 
Huko msibani story itakuwa Lowasa tu
Tofauti na ambapo angefanya bila kuwa na tukio la kukutanisha watu
Na huo ndiyo ukweli, msibani stori itakuwa 1 Lowasa,
2 Lowasa,
3 Lowasa pia.
 
Karibu wana mtandao hii kitu Jom anaijua
 
Hakuna uadui au urafiki wa kudumu,kuna maslahi ya kudumu.Maslahi yakivurugwa lazima ubadili upepo
 
Ni dhahiri Lowassa alishaonesha kila dalili ya ku-surrender' Ilikuwa suala la wakati tu.
Lakini vita ni vita, Vita haiishi kwa kutoweka au kufa kwa mpiganaji. Majeshi huzika na vita ikaendelea!
 
Tanzania development vision 2025 imelenga Watanzania wengi tufukie kiwango cha uchumi wa kati. Tafsiri rahisi ya mtu mwenye uchumi wa kati ni kuwa na nguvu ya kumudu huduma za kijamii kama bima ya afya, kuwa kwenye mfumo wa pensheni, kumudu kupata elimu bora kwa mhusika au watoto.
Hii ikiendana na kumudu kuwa na nguvu ya kununua bidhaa za msingi.

Tunapoumiza vichwa kujua kwanini EL karejea "nyumbani" na kuwa jumatatu tunamzika Ruge, inatakiwa kuwa alert kuwa matukio haya mawili hayana nguvu ya kukabiliana na maadui wetu wakuu watatu. Ujinga, umasikini na Maradhi.

Tukiondoa focus ya kumkabili adui, tunakuwa watu tusiojua kupigana vita vizuri na kuilinda imani ya uzalendo na Utanzania wetu unaotakiwa kuwa huru mbali na ujinda, umasikini na maradhi.

Shalom
 
Hahaha upuuzi mtupu,.huoni hata aibu kusema hivyo??yaani kabisaaa unajisifia ujinga???chaaa!!!

hata matokeo yasipokua ya haki..ni wapi penye haki hapa Duniani? Tukubali tu ili maisha yaende inabidi tutumie maarifa Mungu aliyotupatia.
 
Tuliza akili wewe zwazwa, sijawahi kumkubali huyu fisadi hata kwa sekunde moja na siku zote niliandika humu kumkaribisha huyu fisadi ni makosa makubwa sana. Lini ulianza kuwa na dira wewe? Dira kwenye lipi?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…