Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Wengi watatoka ukawa kumfuata unajua Lowasa ni sawa na ngekewa ana nyota ya pesa ana nyota ya kuvuta watu hana destructive energy nyota ya kuvuruga au kufail kila jambo,watu kariba hii ni asset kwa nchi,ndani ya mwaka tu nchi itaajaa pesa,anaweza kuirudisha nchi kwenye mstari maana imenyooshwa hadi imepinda karibu ya kukatika,Lowasa atawaunganisha watu ataleta umoja wa kitaifa, heshima ya mtumishi na tija makazini,atainua elimu, Kilimo, uchumi nk.Mungu asaidie
Walishamtangulia kurudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni naona hili la Lowassa na Mbowe ni timing na planned mission kusahaulisha watu.

No one will talk of those serious issues concerning our economy.
And thats where we stuck as a Nation.
Masteminded!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hakuna mtu ndani ya CCM anaweza kujaribu tu kutaka kushindana na JPM. Wapinzani waliozoea siasa nyepesi wote watahama ni muda tu.
 
Fisadi gamba laamua kurudi kwa magamba wenzie ili nalo likaibe tena maana mlango wa hazina uko wazi kabisa. Kwa wanasiasa Malaya/changudoa kama hawa wanaojali matumbo yao Watanzania tutayasubiri sana maendeleo ya kweli.
Mlitaka kulipeleka Ikulu fisadi?

Huu upumbavu utaukuta chadema tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheers Makamanda, Yeah guys today am happy....!!

Daaah we mzee ulijua kutununisha Makamanda, ulijua tuzip midomo na mikono kama wafungwa kwenye gereza letu wenyewe. Hakika tunakushukuru Mungu kwa kutuondolea mtu huyu kwa hiyari yake mwenyewe..!!

Uamuzi alioufanya mzee huyu unafaida kubwa kwa Chadema kuliko kwa ccm. Mzee ndani ya chama alikuwa mwenyewe na Mbowe tu. Kina Mnyika walikuwa wakimuangalia wanaishiwa morali ya kupaza sauti. Lissu ndo kabisaa... hataki hata kumsikia mzee huyu. Wapo viongozi wengi tu ambao walikuwapo Cdm kwa kusukumwa tu kwasababu kwa namna yoyote wasingeweza kwenda ccm. Sasa kuondoka mzee huyu kutawarudisha makamanda hawa kwenye mstari.

Hii inamaana gani.., Mzee ameondoka Mwenyekiti wake akiwa Mahabusu kwa Miezi mitatu..!! Mwanasheria mkuu wa chama ambacho yeye alikuwa mjumbe wa cc akiwa Ubelgiji akiuguza madonda ya kunusurika kuuwawa kwa risasi kedekede, Wabunge kadhaa wakiwa wametapakaa mahabusu mbalimbali kwa kesi hizi na zile.... What a selfish man I ever seen...!!

Ma Comrade Commenders all over the world tembeeni kifua mbele.. Now Cdm asili is back. Mbowe wewe ndiwe Mbowe na juu ya mwamba huu imejengwa na kusimikwa Cdm.. siyo siri ulituumiza makamanda wengi kwa kumpokea bwana huyu..!! Ila tusemeje sasa...

MAJUTO NI MJUKUU... TOKA JELA COMMANDER CDM IKO MLANGONI INAKUSUBIRI TUNAJUA KUWA HURUDII MAKOSA KAMA HAYA BALI UTAYAFANYA TOFALI LA KUJENGA NGUZO IMARA KWENYE GHOROFA HILI LA CHADEMA

Makamanda wote mliopo boda tuonane kesho Valentine tugonge vyombo kusindikizia furaha hii..!! Makamanda Dar semeni tuonane wapi Jumapili... Mimi mgeni wenu tafadhali..!!

BAAAAAAAACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app

Ya kweli hayo ati Cheers Makamanda, Yeah guys today am happy....!!. Au kwa kuwa wewe hauko katika safu ya uongozi ndiyo umekuja na hoja hizo mufu!

Je, unaweza kubashiri athari gani CHADEMA na uongozi mzima utaupata kwa Lowassa kurudi CCM wakati Chaguzi za Kitaifa ziko mlangoni? Au naye kanunuliwa?

Naamini uongozi wa CHADEMA uko na wasiwasi kuhusu kujulikana kwa mipango yao ya kuihujumu Serikali ili isifanikiwe katika vita ya kiuchumi na vita nyingine za kuleta maendeleo ya watu na nchi.

YETU MASIKIO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"CCM sio mama yangu wala baba yangu"

Watakaohudhuria mikutano ya kampeni za upinzani mwaka 2020 inabidi wapimwe marinda.Mimi mwaka 2020 siku ya uchaguzi nitakuwa nampa mke wangu haki yake ya ndoa na kama atakuwa kwenye siku zake basi nitahakikisha mche wa sabuni ya JAMAA unaisha pamoja na maji Simtank la lita 5000
 
Ccm nadhani bado wana miaka 100 ya kutawala Tanzania maana wanajua saana kucheza na wapinzani aise

Naanza kuamini kuna mpango kabambe wa kuhakikisha hakuna mbunge wa upinzani kurudi bungeni

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Ameona isiwe noma. Kamwachia yule mlemavu aliyetangazia dunia nzima nia yake ya kugombea uraisi 2020 kwa ticket ya chadema. Atanyolewa bila maji!!!
 
WAKUU NATAFUTA UZI WA RUGE. SIUONI NISAIDIENI. PAGE ZOTE KARIBU NI LOWASSA! LOWASSA!
 
Tatizo unakurupuka hujitambui na mambo mengi huyajui! Kikwete aliposema wanataka kulivua gamba ccm alimaanisha kuwafukuza mafisadi Rostam, lowassa, chenge na wengineo walipomtisha kwamba yeye mwenyewe ni fisadi akahofia lakini zwazwa wewe huyajui hayo!
Ndio mkaona muyapokee muyape Ikulu kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom