Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Taifa liko kwenye majonzi mazito ya ndugu yetu Ruge. Kama haitoshi mzee wetu na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa Leibniz mwana CCM. Yote ni kheri lakini tusisahau kuwa

1 US$ = 2,344.95 Tshs.

Kule Mtwara ndugu zetu wamerudishiwa korosho mwezi February huu hawajui soko watalipata wapi.

1551468018931.jpeg


Leo Mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe yuko uraiani.

Shukrani

Mtiifu Sky Eclat.
 
th
Walipokutana Mwembe Yanga tarehe 15 Septemba, 2007 wakiwa na orodha ya mafisadi papa nchini akiwamo waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa, wapinzani walisahau kitu kimoja au viwili. Kwanza, walikuwa wanaandaa kifo cha Lowassa kisiasa ndani ya CCM na Tanzania. Pili, walikuwa wamemtendea kosa ambalo asingeweza kulisahau maishani mwake bila kulipiza kisasi. Kwa wataalamu wa mambo, tulijua fika kuwa Lowassa alipojiunga na upinzani alisukumwa na sababu kuu tatu yaani:
Mosi, hasira baada ya kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais.
Pili, imani kuwa angeweza lau kushinda kupitia upinzani hata kushindwa bila kupoteza lolote zaidi ya upinzani.
Tatu, alitaka kulipiza kisasa kwa namna upinzani ulivyombomoa na kumtangaza kuliko mafisadi wengine uliotaja.
Tatu, alitaka kuukomesha upinzani na kujijengea nafasi maalumu kwa CCM ambayo, nayo bila shaka, ilijua kuwa alichokuwa akifanya kada wake huu kingeisaidia kwenye uchaguzi husika. Sababu ziko nyingi. Ila hizi tatu ndizo zingemfanya mchambuzi yeyote mahiri kutabiri kurejea tena kwa Lowassa CCM siku moja kama ambayo amefanya leo. Kimsingi, kama kuna aliyeuua upinzani si mwingine bali aliyeushauri kumpokea Lowassa.
Sasa Lowassa ametimiza malengo yake yote. Kuna haja gani ya kubakia upinzani? Kujua tulivyoliona hili tangu siku ya kwanza, SOMA LINK HIIhttps://mpayukaji.blogspot.com/2015/11/when-bongo-politics-became-nastily.html


Selflessness is a venue of a few but greed is the sanctuary for many-Nkwazi Mhango Sr.
 
Tatizo unakurupuka hujitambui na mambo mengi huyajui! Kikwete aliposema wanataka kulivua gamba ccm alimaanisha kuwafukuza mafisadi Rostam, lowassa, chenge na wengineo walipomtisha kwamba yeye mwenyewe ni fisadi akahofia lakini zwazwa wewe huyajui hayo!

Leo limekuwa gamba, hahahahahaha uwiiii!
 
Uzazi wa kuku unategemea yai ili uwepo, na yai linategemea kuku ili liendelee kuwepo ...[emoji41]
20190301_220707.jpeg
 
Ule msemo wa " everything in politics is being engineered" utajidhihirisha very soon.

Naona the mastermind are back!

Mchezo upo dakika ya 40 now..


Mzee Baba ana hama Kambi

Kama Ni Msafiri wa Treni tunasema 'Treni inafanya shanting' Yaan inahama Reli taratibu

Mzee kastuka Joka la Mdimu linakusanya Sumu Mdomoni so anakusanya 'Mawe ya sumu ya Nyoka' Mapema
 
Huo ndio mkakati unaoenda kufanywa now na Team Lowassa as perfect as Lowassa anapambana kuweka heshima yake pale pale juu.

Aidha:

1. Njia ya diplomasia itumike Magufuli aishie awamu moja tu, ama
2. Lowassa wakishirikiana vizuri na Rostam Aziz wakafanya wafanyalo CCM imteme Magufuli 2020.

Ukweli:

Lowassa anawajua na ana mashabiki zaidi wa CCM kuliko Magufuli. Pia, Magufuli kawaumiza zaidi wana CCM kuliko hata wapinzani.

Kama, Lowassa akashindwa kupenya 2020, basi kwa ushirikiano na The King Maker #Rostam Aziz wanaweza kumweka mtu wao ama 2020 au 2025 na kuendelea.

Nimemaliza.

Siasa ni ujasiriamali kama ilivyo ujasiriamali mwingine.

The battle is on, if you can't fight them join them and fight within them!
ccm wote n vpofu, hakuna mwenye uwezo wa kumwambia mkulu kuwa ww hawakupend ishia awam moja, na kwa utu wa madaraka, jiwe hawez kukubali kuachia ngazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi watatoka ukawa kumfuata unajua Lowasa ni sawa na ngekewa ana nyota ya pesa ana nyota ya kuvuta watu hana destructive energy nyota ya kuvuruga au kufail kila jambo,watu kariba hii ni asset kwa nchi,ndani ya mwaka tu nchi itaajaa pesa,anaweza kuirudisha nchi kwenye mstari maana imenyooshwa hadi imepinda karibu ya kukatika,Lowasa atawaunganisha watu ataleta umoja wa kitaifa, heshima ya mtumishi na tija makazini,atainua elimu, Kilimo, uchumi nk.Mungu asaidie
 
Wana nd
tulikuwa tukifunga na kuomba fisadi kuu liondoke ajiunge na alikozaliwa. Mungu katujalia ameondoka kajiunga na RA kubwa lao. Sasa ni wakati wa kumweleza Sumaye na wengine waondoke na Freeman Mbowe muuza chama. Zitto arudi cdm aongeze nguvu upinzani. Lisu tayari kashapata njia nyeupe kumkabili JP. Mbowe umefanya mengi tunakushru sana kwa ili la lowasa kwa kweli ulituumiza sana. Hata Dr. SLAA ANAWEZA KURUDI SASA na John kapata raha kwani sera ya ufisadi inarudi Mrsa ni
Mwambie kwanza mwemyekiti wao wa ccm taifa kuwa ccm imemshinda kwa kukabidhi chama wehu kama akina msiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa karudi CCM kabla ya Lowassa Mwenyewe kujua Kuwa karudi CCM

Lowassa karudi CCM Siku Rostam alipokaribishwa Chai Ikulu Na Mzee Baba

Nguvu ya Rais Magufuli Kwenye Uchaguzi wa 2020 panapo uhai haimithiliki!

Kushoto Jk, kulia Rostam, Pemben Ngoyai
Hahahahaha
Mnahitaji nguvu gani wakati polisi na Tume ipo mifukoni mwenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana, lakini pia haiwezekana maana kuna mawili
1.alitemwa kimkakati ili chadema wampokee wamsafishe afu arudi akagombee hata awamu moja
2.alitemwa kimkakati kuimaliza nguvu chadema wahangaike kumsafisha huku ccm ikikosa upinzani na ikatua madarakani kwa mara nyingine salama salimini huku Lowassa yeye akitumika kama mbuzi wa kafara tu/ au jasusi
Lakin hapo namba moja lolote laweza tokea pia maana madaraka si kitu cha mchezo jamaa anaweza wa geuka akavunja ahadi hiyo,
So uwezekano mkubwa ni kwamba amerudi nyumbani baada yakumaliza kilichompeleka upinzani basi ameenda kupumzika mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe ndio Ruge wa Chadema

Akiondoka Chadema itabaki Kama PPT Maendeleo
 
Back
Top Bottom