Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Moja ya makosa makubwa ambayo Chadema waliyafanya ni kumpokea E.L!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu choo kimehamia sebuleni kwake sijui atakimbia au atafanyajeDr slaa naona Leo anacheka kweli asset au liability majibu yameonekana Leo .
Kwani Slaa alijiunga na Chama Cha kijani?Yote tisa nasubiri uamuzi mgumu sana wa Dr Slaa maana alisema hawezi kukaa ndani ya chama kimoja na mtu mchafu kama lowassa
Sent using Jamii Forums mobile app
You nailed. Mkwe soon atarudi. Hata ningekua ni mimiNaambiwa Mzee Edward Lowassa mwamba wa siasa za Tanzania amerejea CCM.
Huu ni ushindi mkubwa kwa Lowassa mwenyewe na vyama vya Upinzani.
Lowassa atapata posho zake za uwaziri mkuu bila mizengwe.
Lowassa kwa umri wake na hadhi yake si mtu wa kushinda mahakamani au gerezani kwa mapambano ya kidemokrasia.
Mkwe wake Sioi Sumari kama sijajosea jina yupo ndani kwa kosa la uhujumu uchumi tangu 2016.
Kwa kipindi chote hicho,binti wa Lowassa anaishi kama mjane kwa kumkosa mume wake,
Kurejea kwa Lowassa CCM ni fursa kwa mwanae kumpata mume wake mapema ndani ya miezi mitatu ya mwanzo.
Hivi mlitaka Lowasa abaki upinzani huku akijua chaguo la Upinzani ni Lissu au Zitto halafu abaki huko kwa faida gani wakati mkwe wake anateseka gerezani?
Mzee Lowassa kajitendea haki yeye,familia yake pamoja na mkwe wake.
Mzee kaamua kuzichanga na kubani kuwa kurudi CCM kuna faida nyingi kuliko kubaki upinzani ambako si chaguo lao tena kwenye uchaguzi mgumu saana wa 2020.
Kwa upande wa upinzani nako ni sherehe.
Kuondoka kwa Lowassa kumetoa fursa kwa upinzani kujipanga mapema.
Upinzani ungeumizwa endapo Lowassa angejiondoa Upinzani katikati ya kampeni za mwaka 2020.
Kuondoka kwa Lowassa kwa hiyari yake kumeunusuru upinzani na Migogoro ya ndani ambayo kwa sasa ipo ndani ya CCM kuliko upinzani.
Kama wangemuengua Lowassa kwa nguvu na yeye kuamua kuwavuruga kama anavyofanya Lipumba,hakika upinzani ingebidi usubiri hadi 2025.
Lakini kwa kitendo cha kiungwana alichofanya Mzee Lowassa kutotaka usumbufu na kuvunjiwa heshima,ameamua kujiondoa mwenyewe .
Kurejea kwa Lowassa CCM ni sawa na kuamua kustaafu siasa akiwa ndani ya chama kilichomlea. Hii ni faida kwake binafsi kwakuwa ataendelea kunufaika na mfumo ikiwa CCM itadumu nadarakani.
Familia yake haitataifishwa mali zao hata siku Lowassa akiaga Dunia siku mwenyezi mungu akimuita.
Vijana wa upinzani sitegemei mumtukane ,kumzodoa na kumkejeli Mzee wetu huyu ambae ameusaidia upinzani kupata viti vingi bungeni kutokana na ushawishi wake.
Siasa ni wakati,Mzee amesoma vizuri alama za nyakati.
Ni kweli japokuwa uraisi watashindaZipo nadharia mitaani kuwa Lowasa alikuja ukawa kimkakati ili kuokoa ccm isife 2015 wakijua atashinda Lkn awe ni MTU wa kuyakubali matokeo kuliko upinzani angesimama Mbowe asingekubali kuibiwa ushindi, thus hakuwahi rudisha kadi ya ccm,hivo kurudi ni kusadikisha haya.Ngoja tuone upepo wa 2020 utakavokuwa.Ccm mpya haiuziki mtaani imevuruga kila sehemu haina uwezo wa kupambana na Lissu
Unakumbuka ulimjibu nini Musukuma?Msukuma alimwambi kuwa anajinyea
SWISSME
Mbona hatujaziona Twitter za harakaharak za kumsema km jabali la mafisadi?, vipi kaponaa kujinyea mlikomdhalilisha 2015?, mkumbushee alaa sasa choo ipo meza anapolia chakula. Je ataisikia au?Mbona hatuzioni Twitter za kina Zitto na Lissu. Au tuungojee waraka mrefu wa Lissu akianza na historia ya kumsafisha Slaa, na kumkebehi Lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
ni sawa na Lowassa mnapenda kuwa penye mteremko, ndio maana watz wataiacha ccm madarakani mpaka kizazi chenye akili kizaliwe.Mbowe aliiua cdm hasilia ameua misingi ya chama kwa kumleta lowasa na alitoa fedha nyingi sasa chama kimekufa ata gerezani uko asitoke tena maana dhamira yetu wanacdm inatusuta,mbowe hajiuzulu kwa kushindwa kusimamia chama apo ndo naanza kumuelewa zitto,slaa yani hata bora lipumba sio mbowe ,damu za wana cdm waliokufa kukipigania hiki cham zitamtesa mbowe ,
@ mbowe out
MBOWE out
MBOWE out
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ni wakati wa kufukuzwa kwenye majengo yenu yote mliyopanga maana mlipa kodi amechoka,kaamua kurudi nyumbani"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu " Lowassa ameondoka chadema kama Alivyoondoka kalanga
Kufanya kazi serekalini haina maana kuwa wewe ni ccm hata wapinzani wamo serekalini na hawajaacha kazi
JidanganyeZipo nadharia mitaani kuwa Lowasa alikuja ukawa kimkakati ili kuokoa ccm isife 2015 wakijua atashinda Lkn awe ni MTU wa kuyakubali matokeo kuliko upinzani angesimama Mbowe asingekubali kuibiwa ushindi, thus hakuwahi rudisha kadi ya ccm,hivo kurudi ni kusadikisha haya.Ngoja tuone upepo wa 2020 utakavokuwa.Ccm mpya haiuziki mtaani imevuruga kila sehemu haina uwezo wa kupambana na Lissu
Hili gamba fisadi linajali tumbo lake tu na si maslahi ya Watanzania.
Yote tisa nasubiri uamuzi mgumu sana wa Dr Slaa maana alisema hawezi kukaa ndani ya chama kimoja na mtu mchafu kama lowassa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jidanganye
Habari mkuu...Lowassa karudi CCM kabla ya Lowassa Mwenyewe kujua Kuwa karudi CCM
Lowassa karudi CCM Siku Rostam alipokaribishwa Chai Ikulu Na Mzee Baba
Nguvu ya Rais Magufuli Kwenye Uchaguzi wa 2020 panapo uhai haimithiliki!
Kushoto Jk, kulia Rostam, Pemben Ngoyai
Hahahahaha