Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Watu wa Mungu habari zenu..

Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!

CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! 😜😂😂
leo lowasa sio oil chafu?
sio yule aliyejinyea jukwaanj?
sio mgonjwa?
sio aliyekatwa mkia?
WAFRIKA TUNA MATATIZO SANA DAH
Yani chadema iwe na maumivu kwakuondoka lowasa?
 
Wasiasa watanzania wadhaifu sana, wewe wape mikate tu utawapata kirahisi.
 
<blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="in" dir="ltr">Lowasa karudi CCM. Karibu tena nyumbani Mheshimiwa. CCM hoyeee! Magufuli hoyee,,,,,,,,</p>&mdash; Reginald Mengi (@regmengi) <a href="">March 1, 2019</a></blockquote>
<script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>


Wajinga tu ndio hawajui kwanini hawa wanafanya hayaa, wanamjaza anayependwa kujazwaa mwisho wa siku wanafanikisha yao kwa kumtukuzaa Bi kirembweeee
 
Tutarajie bunge lijalo la bajeti kupongezwa na kila mbunge wa kijani bila aibu mpaka wale waliomtukana musukuma, lusinde n.k.
 
Obstacle kubwa ya siasa za upinzani hatimaye sasa amerejea alipostahili kuwapo!

Binafsi sikuwahi kuona mchango wake baada ya zile kampeni za 2015

Kuondoka kwake naamini kutawainua upya wanasiasa wa kweli walionuna baada ya ujio wake!

J. J. Mnyika
G.Lema
B. Jacob

Na wengine wengi naamini watarudi ulingoni maana kikwazo kimeondoka!

Wasiwasi uliobaki ni alitumwa kufanya nini!?

Je, wataweza kuinuka tena au ndo kashawamaliza sasa anarudi kupumzika na kuchunga ng'ombe baada ya kukamilisha kazi yake!?

Na huyo mwenye cheo kama chake, yeye bado assignment haijakamilika!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana nd
tulikuwa tukifunga na kuomba fisadi kuu liondoke ajiunge na alikozaliwa. Mungu katujalia ameondoka kajiunga na RA kubwa lao. Sasa ni wakati wa kumweleza Sumaye na wengine waondoke na Freeman Mbowe muuza chama. Zitto arudi cdm aongeze nguvu upinzani. Lisu tayari kashapata njia nyeupe kumkabili JP. Mbowe umefanya mengi tunakushru sana kwa ili la lowasa kwa kweli ulituumiza sana. Hata Dr. SLAA ANAWEZA KURUDI SASA na John kapata raha kwani sera ya ufisadi inarudi Mrsa ni
Na wewe ni Chadema hahahahaaa. Tokea lini?
 
Zingekuwa zaidi, lowasa ndo alifunga mdomo chadema wengi wasiongee hata wakiongea hawajiamini , kumpokea ilikuwa sawa lakini kumpa nafasi kugombea ilikuwa kosa ambalo halitasahaulika na limepotezea chadema sifa nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona dr slaa baada kuona hayo na kuamua kuachana na siasa mlimtukana na kusema kanunuliwa na ndio maana lowasa baada kuona viongozi wa chadema hawajielewi akasisitiza sana elimu elimu elimu mkadhani anawambia ccm kumbe lilikuwa dongo kwa mbowe

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom