cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,756
- 5,250
Kama alijiuzuru kwanini alichaguliwa akakubaliKivipi ache ubalozi wakati slaa sio ccm na tayari amejiuzulu siasa
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alijiuzuru kwanini alichaguliwa akakubaliKivipi ache ubalozi wakati slaa sio ccm na tayari amejiuzulu siasa
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
leo lowasa sio oil chafu?Watu wa Mungu habari zenu..
Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!
CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! 😜😂😂
Umemsahu na slaa pia muengeze kwenye hio list ujueKama kweli wakudadavua na wenzake vipara vipya wataeka wapi sura zao???, mleta mada chanzo tafadhari cha habari yako
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kwa kweliPole sana mkuu, ni vizuri kuwa makini. Nani anataka 36 bullets mkuu...
Changia basi mi nipo nyuma yako hapa
Kwahiyo leo katakasika?Nyie mlipomchukua alikuaje ? Labda tuanzie hapo.
<blockquote class="twitter-tweet" data-lang="en"><p lang="in" dir="ltr">Lowasa karudi CCM. Karibu tena nyumbani Mheshimiwa. CCM hoyeee! Magufuli hoyee,,,,,,,,</p>— Reginald Mengi (@regmengi) <a href="">March 1, 2019</a></blockquote>
<script async src="https://platform.twitter.com/widgets.js" charset="utf-8"></script>
We unaumwa nini?? Tandahimba hakuna ufipa. Sisi tuko cdm hata mtuue woteHili pigo la leo pale ufipa ni kama bomu la nyuklia vile.
Tamko la nn sasa? machadema bana!!Sasa Lowassa amerudi CCM, chama cha muajiri wako. Tunaomba tamko lako Mh. balozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
"Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu " Lowassa ameondoka chadema kama Alivyoondoka kalangaMbona hatuzioni Twitter za kina Zitto na Lissu. Au tuungojee waraka mrefu wa Lissu akianza na historia ya kumsafisha Slaa, na kumkebehi Lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni Chadema hahahahaaa. Tokea lini?Wana nd
tulikuwa tukifunga na kuomba fisadi kuu liondoke ajiunge na alikozaliwa. Mungu katujalia ameondoka kajiunga na RA kubwa lao. Sasa ni wakati wa kumweleza Sumaye na wengine waondoke na Freeman Mbowe muuza chama. Zitto arudi cdm aongeze nguvu upinzani. Lisu tayari kashapata njia nyeupe kumkabili JP. Mbowe umefanya mengi tunakushru sana kwa ili la lowasa kwa kweli ulituumiza sana. Hata Dr. SLAA ANAWEZA KURUDI SASA na John kapata raha kwani sera ya ufisadi inarudi Mrsa ni
Kwani mlivyomchukua alikua fisadi au si fisadi?
Mbona dr slaa baada kuona hayo na kuamua kuachana na siasa mlimtukana na kusema kanunuliwa na ndio maana lowasa baada kuona viongozi wa chadema hawajielewi akasisitiza sana elimu elimu elimu mkadhani anawambia ccm kumbe lilikuwa dongo kwa mboweZingekuwa zaidi, lowasa ndo alifunga mdomo chadema wengi wasiongee hata wakiongea hawajiamini , kumpokea ilikuwa sawa lakini kumpa nafasi kugombea ilikuwa kosa ambalo halitasahaulika na limepotezea chadema sifa nyingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app