Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Ndio kilichobaki hicho kujipa moyo hivi unafikiri zile kura milioni 6 walizopata chadema 2015 zilikuja kwa lisu na kina mnyika hakika ule kwa asilimia kubwa ni mtaji wa lowasa kiukweli hili ni pigo kwa chadema kilichobaki kujikaza tu kwa maneno kama yako.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Zingekuwa zaidi, lowasa ndo alifunga mdomo chadema wengi wasiongee hata wakiongea hawajiamini , kumpokea ilikuwa sawa lakini kumpa nafasi kugombea ilikuwa kosa ambalo halitasahaulika na limepotezea chadema sifa nyingi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi cha kampeni kuna kundi ndani ya ccm lilimkashifu sana Lowassa sasa sijui nao watakua kwenye hali gani sasa kwa sababu wanajua fika kuwa yuko karibu na mwenyekiti wao
LOWASA KURUDI CCM
Lowasa kurudi ccm ni ushahidi kuwa ana uchu wa madaraka. Aliondoka ccm kwa kuwa hakupata fursa ya kugombea urais akiwa ccm na alipoona kuna uwezekano wa kugombea kupitia UKAWA, akafanya uamuzi wa kwenda ukawa ili apate fursa hiyo.
Lowassa alitarajia kuwa atapewa nafasi ya kugombea tena urais kwa tiketi ya Chadema lakini siku za karibuni upepo ndani ya Chadema umemgeukia Tundu Lissu kuwa ndiye kipenzi cha wengi kugombea urais wa Tanzania. Baada ya Lowassa kuona hakuna uwezekano wa yeye kugombea tena urais kwa tiketi ya Chadema ameamua kurudi ccm.
Sio kuwa Lowassa akiwa ccm ana uwezekano wa kugombea urais mwaka 2020 lakini kule ccm kuna maslahi na vyeo. Huenda pia Lowassa anawaza miaka saba ijayo wakati JPM anamaliza muda wake. Huenda akajaribu tena karata zake za kugombea urais kwa kupitia ccm
Kuhama kwa Lowassa ni pigo kwa upinzani kwa vile kuna baadhi ya wana Chadema walijiunga na Chadema kwa sababu ya Lowassa lakini pia inaweza kuwa fursa ya Chadema kujipanga upya. Shutuma kuwa Chadema wanapokea mafisadi sasa zitaondoka.
Ni fursa pia kwa chadema maana kama kuna weaknesses zo zote za kurekebisha basi Chadema wasisite. Kwa mfano wahahakikishe mchakato wao wa kuchagua mgombea urais uwe wa wazi kwa kutumia vigezo vinavyojulikana na kukubalika na uwe wa kidemokrasia.

SWISSME
 
Kabisa mwezi huu hauishi watakuwa huru utakuwa ni uthibitisho mwingine mkubwa jinsi dikteta anavyoingilia uhuru wa mahakama vile atakavyo yeye.

wanaachiwa kwa NOLLE muda wowote, kuwa DPP hana nia y'a kuendelea na kesi, au wataomba wakumbushwe shtaka, then wanakubari wanapigwa faini habari imekwisha,

LOWASA amejishushia heshima, ni bora angestaafu siasa tu yule baba
 
Umenena umemaliza,Lowasa kasoma upepo upinzani hawezi simama, heri alinde mali na soon mkwe atatoka maisha yaendelee, ni shinikizo LA mda mrefu,anaeweza kupambana na Iisu ni lowasa au Membe 2020 ili chama kisife, ccm iwatumie hao wanakubalika kote kote ccm na upinzani. Huyu ccm mpya hana Kazi ngumu sana kupenya kupambana na Lisu maana kavuruga si mjini si vijijini hauziki zaidi kwa wachumia tumbo na wenye nasaba kama zake.Hoja anazozitegemea ni SGR, bomberdia na stirls goerg ambapo kwa layerman ni msamiati mkubwa ukimwambia SGR,bombardia atadhani ni majina ya Dawa.Lowasa Membe wana nyota za pesa ndani ya mwaka tu nchi itajaa pesa,Lowasa aliinua elimu hii iliyokufa.
Mkuu umeeleweka vilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yajayo yanafurahisha. Ruge amekwenda na kuacha pengo katika fani ya sanaa ya muziki. Leo Mwili wake umewasili nchini kutokea Afrika Kusini. Ujio wa mwili wa Ruge umekumbana na tukio la "Ulipo Tupo..." akikimbia kambi.

Msiba wa Ruge umesikitisha...., Lowasa kurudi CCM ni pigo takatifu kwa upinzani. Je, upi sasa ni mwelekeo wa CHADEMA bila Lowasa?

Msiba, msiba, msiba, msiba!
 
Lowassa karudi CCM kabla ya Lowassa Mwenyewe kujua Kuwa karudi CCM

Lowassa karudi CCM Siku Rostam alipokaribishwa Chai Ikulu Na Mzee Baba

Nguvu ya Rais Magufuli Kwenye Uchaguzi wa 2020 panapo uhai haimithiliki!

Kushoto Jk, kulia Rostam, Pemben Ngoyai
Hahahahaha
 
Sio kweli Dr. Slaa alitaka lowassa aje awe Kama mwanachama was kawaida Ila mkakimbilia kumtukana Leo yametimia

Zipo nadharia mitaani kuwa Lowasa alikuja ukawa kimkakati ili kuokoa ccm isife 2015 wakijua atashinda Lkn awe ni MTU wa kuyakubali matokeo kuliko upinzani angesimama Mbowe asingekubali kuibiwa ushindi, thus hakuwahi rudisha kadi ya ccm,hivo kurudi ni kusadikisha haya.Ngoja tuone upepo wa 2020 utakavokuwa.Ccm mpya haiuziki mtaani imevuruga kila sehemu haina uwezo wa kupambana na Lissu
 
Sio rahisi kwa maana sasa tumbo limejaa na huku CDM hakuna ulaji ni upiganaji tu.
 
Back
Top Bottom