silver_back
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 833
- 813
Wewe kama una akili timamu kwa nininunaondolewa kwenye mstari? Kataa. Endelea kuongea korosho na shilingi kushuka.Tunaondolewa kutoka kwenye mstari.
Ccm nadhani bado wana miaka 100 ya kutawala Tanzania maana wanajua saana kucheza na wapinzani aise
Naanza kuamini kuna mpango kabambe wa kuhakikisha hakuna mbunge wa upinzani kurudi bungeni
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Lowassa ni fisadi au sio fisadi?Ameamua kutokana na matusi aliyoyaambulia pale alipouliza pesa za ruzuku wakati jamaa yake yuko gerezani na kutukanwa maneno machafu aisee !! kumbuka maulizo hayohayo ndo yaliyo mfukuza zitto na hata chachawangwe mpaka akaambulia mauti aisee hata mie naacha UCHADEMA
Msiba wa kitaifa? Upi huo mkuu?Wanataka kutuondolea concentration ya msiba wa kitaifa
Kwani alivokuwa upinzani ule ufosadi ulopigiwa kelele bungeni ulifutika?
Behind the scene:Filamu ya Titanic ilitengenezwa vipi? Hi siasa yetu ni zaidi ya mambo ya Hollywood,Marvel Studios na wenzao..Sieraia tuna Kazi.. Nimerudi Nyumbani,JF oyee..Dr slaa naona Leo anacheka kweli asset au liability majibu yameonekana Leo .
Waacheni wafu wawazike wafu wenzaoYajayo yanafurahisha. Ruge amekwenda na kuacha pengo katika fani ya sanaa ya muziki. Leo Mwili wake umewasili nchini kutokea Afrika Kusini. Ujio wa mwili wa Ruge umekumbana na tukio la "Ulipo Tupo..." akikimbia kambi.
Msiba wa Ruge umesikitisha...., Lowasa kurudi CCM ni pigo takatifu kwa upinzani. Je, upi sasa ni mwelekeo wa CHADEMA bila Lowasa?
Msiba, msiba, msiba, msiba!
Ongezea je CHADEMA watabadilisha kauli zao kuhusu Rowasa na kurudi ktk harakati zile za ufisadi ? Manake Lowasa aliwageuza kama madodoki.Wazima jamani ,poleni kwa msiba wa mpendwa wetu na ndugu yetu ,na mtanzania wenzetu kaka Ruge M.
Niende moja kwa moja. Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu ,Daktari alihama chama sababu ya Mzee kuhamia CDM ,sasa nimekaa nimetafakari ,sasa je Daktari atakuwa tayari ku reverse kile alichosema na kuwasimanga CDM baada ya kumpokea mzee???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii point kubwa mno na nimekuwa najiuliza toka nisikie habari hizi.Wasiwasi uliobaki ni alitumwa kufanya nini!?
They are kicks of a DYING DONKEY, lowassa never left ccm, he is just hungry for powerHANA IMPACT ARUDI TU HANA ISSUE
Akina Allen Kilewella leo wanatafutana.Niliwadharau saaana chadema walipomkaribisha huyu jasusi kikongwe kwenye chama chao na bad enough wakampa nafasi ya kugombea uraisi
Hakika pengo la Dr SLAA halitozibika
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Atarudisha vp wakati ameshaichoma moto?Hajawahi kurudisha kadi ya ccm